UKAWA tumestuka msitake kutuburuza

Mkuu hizi propoganda mmeshachalewa....tuliwasikiliza sana..lakini baadaye tukagundua sisi ndo wajinga.....I say...hatudanganyiki tena!

rasilimali zipi hizo mkuu unazozizungumzia?manake kwa utaratibu huu wa ccm sidhani km kuna kilichosalia labda ambacho hakijagundulika mpk sasa otherwise ccm walikwisha filisi nchi hii zamani sana,kuanzia walipoanza kuuza vitalu vya uwindaji kule loliondo,kusafirisha wanyama hai mpk kusaini mikataba 17 ya siri kati ya TZ na China wewe unategemea kabisa kutakuwa na kitu kilichosalia cha kuuzwa na ukawa?acha unafiki fikiri kwa kutumia kichwa na sio tumbo
 
Ukawa majanga kweli watupishe hatuna mpango nao kabisa.
 
Ndio uzuri wa demokrasia maana hata ujinga kama wako unaweza kusema bila aibu wala wasiwasi
 
waambie na wenzio kwamba CCM tumeshawachoka - UKAWA 2015, hili halina mjadala!!!
 

Kweni alichosema na yy si ndiyo mtazamo wake,kweni ww kuwaamini aliyewasema umeingia mioyoni mwao ukajua wanawaza nini wakichukua nchi?hakuna aneyeweza kujiaminisha kwa mwanasiasa kua atafanya hiki na kile bwana
 

Umechelewa sana
 
Hivi we una akiri kweli au una matizo ya ulimi zama za wapumbavu zimeisha sasa ni zama za kujipendekeza na woga.
 

Ni nani huyo aliekwambia umoja wa WaTanzania umeletwa na serikali moja ? Umoja gani huo ambao wengine hugawana hela kwa viroba wakati wengine wanauana kwa kugombea ardhi umoja gani huo unaouzungumzia ,Umoja wa waTZ ninaoujua sio huu tulionao hivi sasa ,hapa tulipo ni kila mtu na nafsi yake na ukoo wake. hebu ulizia ni nani na nani wameenda kusomea mambo ya GAs na petrol huko majuu ,wewe umo ?
 
Ukawa majanga kweli watupishe hatuna mpango nao kabisa.

Ungemwambie yule Seth mtoto mpendwa wa serkali yetu,kuwa ni majanga na atupishe kwenye nchi yetu ningekuonawa MAANA!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hili nalo jipya linatumia I'd mpya kuja na pumba.. K.enge kweli ww kawaambiwe wenzako wa lumumba.. Endeleeni kudanganya wajinga sio sisi. Kwanza we ni ke au me?? Kama ni ke ni bora ukamuhudumie mumeo muda huu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Huo ndio mpango wa chadema na zaidi wanataka kuhakikisha Tanzania inakua nchi ya kikristo na ndio maana walikua wanataka serikali 3 ili wajitenge na zanzibar ili iwe rahisi kwao kuigeuza nchi kua ya kikristo.
 
Mizigo sio mawaziri tu! Hata GT wengine ni mizigo kwelikweli!
 
Nilichokifurahia na kukipenda ni kukutana na Mkuu Ritz nina imani na [MENTION]Lizabon[/MENTION] atakuja mda si mrefu.
wapi [MENTION]F. Fox[/MENTION]
 
Last edited by a moderator:
Hapa ndo naililia Tanganyika yangu dhidi ya wanasiasa uchwara wa bongo land na vibaraka wao.
Upande huu wanadai tushauzwa sisi na Tanganyika yetu,na wanyama pori wetu,na madini yetu,na gesi yetu,na kadhalika zetu.
Huyunae eti anaushaidi wa kwamba upande uleee wanatafta wateja na walanguzi ili watuuze tena!,jamanii where are you my real Tanganyikaaaa?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…