UKAWA toeni boriti kwanza ndani ya jicho lenu

UKAWA toeni boriti kwanza ndani ya jicho lenu

sentino2015

Senior Member
Joined
Apr 9, 2015
Posts
176
Reaction score
30
Maneno ya wahenga kwa kweli ni busara tosha,hivi Ukawa ujasiri wa kunyoosha vidole kwamba oooh kuna kibanzi kule,kwani hawaoni boriti ndani ya jicho lao kweli?ama naomba kusaidiwa ni nguvu ipi iliyowanyamazisha kuhusu kelele zidi ya aliyekuwa hasimu wao na sasa ni mgombea wao,na kwambia ukawa ukiwa na hela kuliko lowassa ukaingia sasa unaweza kuwa mgombea urais,maana kwao hapendwi mtu ila pochi.swali ambalo naomba wenzangu wa ukawa wajibu bila jazba wala majibu ya mkato,hivi ni nini kilichowafanya giza kuita nuru na nuru kuita giza,naomba jibu lenye vigezo maana watanzania si washaulifu kiasi hicho kauli zenu za.jana dhidi ya lowassa
 
ni baada ya lowasa kuweka wazi mhusika wa richmond kuwa ni mamlaka ya juu aka baba rizone
 
Dah huu wimbo watu hawauelewi kabisa umeshazoeleka watu washafanya maamuzi wanasubiri oct 25 kama ni ufisadi bora moja kuliko kundi la mafisadi
 
Maneno ya wahenga kwa kweli ni busara tosha,hivi Ukawa ujasiri wa kunyoosha vidole kwamba oooh kuna kibanzi kule,kwani hawaoni boriti ndani ya jicho lao kweli?ama naomba kusaidiwa ni nguvu ipi iliyowanyamazisha kuhusu kelele zidi ya aliyekuwa hasimu wao na sasa ni mgombea wao,na kwambia ukawa ukiwa na hela kuliko lowassa ukaingia sasa unaweza kuwa mgombea urais,maana kwao hapendwi mtu ila pochi.swali ambalo naomba wenzangu wa ukawa wajibu bila jazba wala majibu ya mkato,hivi ni nini kilichowafanya giza kuita nuru na nuru kuita giza,naomba jibu lenye vigezo maana watanzania si washaulifu kiasi hicho kauli zenu za.jana dhidi ya lowassa

haieleweki umeandika nn?..hebu soma huu uzi wako uone hata kama we mwenyewe utauelewa.
 
Dah huu wimbo watu hawauelewi kabisa umeshazoeleka watu washafanya maamuzi wanasubiri oct 25 kama ni ufisadi bora moja kuliko kundi la mafisadi

Kwa hiyo mnaanza kumuita fisadi koko?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom