UKAWA sisi ni Wenzenu: Rudini Bungeni

UKAWA sisi ni Wenzenu: Rudini Bungeni

Ta Muganyizi

R I P
Joined
Oct 19, 2010
Posts
5,355
Reaction score
2,737
Sisi baadhi ya wananchi tunaowasikili Wana UKAWA, tumefuatilia sana maelezo yenu na kuungana na nyinyi katika harakati zote. Tumekuja kuona kuwa umaskini wa Watanzania sio sababu za Muundo wa Muungano bali sababu kuu ni mganwanyo mbaya wa raslimali za taifa unaotokana na wale walioaminiwa katika nyadhifa mbalimbali kutumia vibaya raslimali za nchi hii.

Naombeni mkajadili mambo mengine yoooote na ikifika suala la Muungano muwaachie wananchi. Kajadilini sura za msingi, zikuhusiana na raslimali, afya, ardhi, elimu na mambo mengine muhimu ili taifa lisonge mbele. Nawaombeni sana rudini tujenge nchi kwa kuvumuliana. Njooni mkomae kwenye maeneo mengine.

Naomba tuanze kuorodhesha chanzo cha Umaskini wa Watanzania kisha tuone Muundo wa Muungano utashika nafasi yangapi? Ikiwa twailaumu serikali iliyopo kwa kuwa ngumu kusikia sauti za wananchi, basi onesheni mfano nyie kwa kutusikiliza wananchi , rudini mjadili maisha yetu mengine.

SABABU AU VYANZO VYA UMASKINI WA WATANZANIA

1.
2.
3.
4.
5
7
8
9
10
11
12
nk
 
Sisi baadhi ya wananchi tunaowasikili Wana UKAWA, tumefuatilia sana maelezo yenu na kuungana na nyinyi katika harakati zote. Tumekuja kuona kuwa umaskini wa Watanzania sio sababu za Muundo wa Muungano bali sababu kuu ni mganwanyo mbaya wa raslimali za taifa unaotokana na wale walioaminiwa katika nyadhifa mbalimbali kutumia vibaya raslimali za nchi hii.

Naombeni mkajadili mambo mengine yoooote na ikifika suala la Muungano muwaachie wananchi. Kajadilini sura za msingi, zikuhusiana na raslimali, afya, ardhi, elimu na mambo mengine muhimu ili taifa lisonge mbele. Nawaombeni sana rudini tujenge nchi kwa kuvumuliana. Njooni mkomae kwenye maeneo mengine.

Naomba tuanze kuorodhesha chanzo cha Umaskini wa Watanzania kisha tuone Muundo wa Muungano utashika nafasi yangapi? Ikiwa twailaumu serikali iliyopo kwa kuwa ngumu kusikia sauti za wananchi, basi onesheni mfano nyie kwa kutusikiliza wananchi , rudini mjadili maisha yetu mengine.

SABABU AU VYANZO VYA UMASKINI WA WATANZANIA

1.
2.
3.
4.
5
7
8
9
10
11
12
nk

CCM unawajua au unawasikia?

Vipi umepata rubisi nyaishoazi
 
CCM unawajua au unawasikia?

Vipi umepata rubisi nyaishoazi

Kaka achana na rubisi...........unajua tumekuwa kama tumewekewa wadudu kichwani.....hapa JF ukiangalia threads nyingi zinazohusiana ufujaji wa raslimali za nchi,,,,,huwa inawekwa mikataba ya kimagumashi, mikatabva mibovu, wizi wa fedha.....sijawahi kuona sana eti muundo wa muungano ndo chanzo cha shida zetu, hata kama ni chanzo basi kiko indirect. Mie nilidhani wewe uliyekunywa pombe ya dukani ungeniwekea sababu ya Umaskini wetu kumbe hujui kama Mkuu wa kaya
 
Ukawa sisi wananchi tuasema rudini bungeni bado kuna issue nyeti.........kama mko serious fnayeni kura ya maoni.....muone kama mrudi au msirudi.
 
CCM unawajua au unawasikia?

Vipi umepata rubisi nyaishoazi

Mkuu umeongea kama nilivyotaka kuongea kasoro swala la rubisi tu.ILA kwa kuongezea tu CCM ni sawa na nyani UKAWA wakiingia tu wameliwa NI sawa na kumkabidhi nyani shamba la mahindi. au kumkabidhi fisi bucha. yaani watasherehekea na kila upumbavu wakipitisha watasema hata UKAWA walikuwemo.
 
Hayo unayoyasema yakajidiliwe kutoka rasimu gan? Ukawa msimamo ni uleule, mpaka rasimu ya warioba ijadiliwe na kuheshimu maoni ya wananchi, nje ya hapo hakuna haja ya kwenda dodoma!
 
huwajui ccm wewe.

Sisi baadhi ya wananchi tunaowasikili Wana UKAWA, tumefuatilia sana maelezo yenu na kuungana na nyinyi katika harakati zote. Tumekuja kuona kuwa umaskini wa Watanzania sio sababu za Muundo wa Muungano bali sababu kuu ni mganwanyo mbaya wa raslimali za taifa unaotokana na wale walioaminiwa katika nyadhifa mbalimbali kutumia vibaya raslimali za nchi hii.

Naombeni mkajadili mambo mengine yoooote na ikifika suala la Muungano muwaachie wananchi. Kajadilini sura za msingi, zikuhusiana na raslimali, afya, ardhi, elimu na mambo mengine muhimu ili taifa lisonge mbele. Nawaombeni sana rudini tujenge nchi kwa kuvumuliana. Njooni mkomae kwenye maeneo mengine.

Naomba tuanze kuorodhesha chanzo cha Umaskini wa Watanzania kisha tuone Muundo wa Muungano utashika nafasi yangapi? Ikiwa twailaumu serikali iliyopo kwa kuwa ngumu kusikia sauti za wananchi, basi onesheni mfano nyie kwa kutusikiliza wananchi , rudini mjadili maisha yetu mengine.

SABABU AU VYANZO VYA UMASKINI WA WATANZANIA

1.
2.
3.
4.
5
7
8
9
10
11
12
nk
 
Ukawa sisi wananchi tuasema rudini bungeni bado kuna issue nyeti.........kama mko serious fnayeni kura ya maoni.....muone kama mrudi au msirudi.
Mwisho wa siku INTARAHAMWE watasema katiba hii imetengenezwa na watanzania kumbe sivyo.UKAWA msirudi bungeni ccm wakale kodi zetu bure kama walivyozoea
 
Watanzania tumepoteza uzalendo na kutanguliza siasa mbele,japo matakwa ya katiba mpya ni ya kisiasa.Tunatakiwa kuaasa ukawa wawe wazalendo kwa kuweka nyuma masilahi binafsi na kurejea bungeni ili tuendelee na mchakato wa kupata katiba mpya
 
Tatizo lenu ccm hamtaki kujadili rasimu ya wanachi manataka ijadiliwe ya kwenu... tatizo liko hapo Ta muganyizi. na hata UKAWA wakirudi mambo yatakuwa yaleyale. ni bora wasirudi tu.
 
Ukawa sisi wananchi tuasema rudini bungeni bado kuna issue nyeti.........kama mko serious fnayeni kura ya maoni.....muone kama mrudi au msirudi.

Hamna kurudi wewe ni ccm umetumwa ujifanye UKAWA hapa jf, nenda wewe kaungane na Lukuvi na mama Anna Tibaijuka mukatengeneze katiba yenu muitakayo. UKAWA hawarudi ngoo!!
 
Hamna kurudi wewe ni ccm umetumwa ujifanye UKAWA hapa jf, nenda wewe kaungane na Lukuvi na mama Anna Tibaijuka mukatengeneze katiba yenu muitakayo. UKAWA hawarudi ngoo!![/QUOTEu]

Yawezekana hunijui...........ninachokwambia ni kwamba hata UKAWA Wasiporudi bungeni.........bunge litaendelea tu. Na ni bora ukawa wawepo wateteee maslahi mengine ya mtanzania na sio muundo wa muungano tuuu. Wote hakuna aliyejibu swali la msingi...umaskini wetu chanzo ni muungano? Mie nilidhaniu una uelewa kidogo. Umaskini wetu ni muuundo wa muungano? Hapo tu ndo akili yako imeenda left.
 
Mkuu umeongea kama nilivyotaka kuongea kasoro swala la rubisi tu.ILA kwa kuongezea tu CCM ni sawa na nyani UKAWA wakiingia tu wameliwa NI sawa na kumkabidhi nyani shamba la mahindi. au kumkabidhi fisi bucha. yaani watasherehekea na kila upumbavu wakipitisha watasema hata UKAWA walikuwemo.

lee jibu swali walau...................main argument ya ukawa ni Muundo wa Muungano.....nakuuliza tena umaskini wetu ni Sababu ya Muundo wa Muungano?
 
Watanzania tumepoteza uzalendo na kutanguliza siasa mbele,japo matakwa ya katiba mpya ni ya kisiasa.Tunatakiwa kuaasa ukawa wawe wazalendo kwa kuweka nyuma masilahi binafsi na kurejea bungeni ili tuendelee na mchakato wa kupata katiba mpya

Ndugu nimefikiria sana.............mambo mengi mabovu hapa nchini.... sioni sababu ya kukomalia suala la muungano wakati kuna mambo kibao....kwa ukawa kutorudi......watakuwa wamewapa ccm na wengine kufanya ujinga wautakao
 
Hata wasiporudi bungeni lazima katiba mpya itapatikana.

Katiba mpya ya chama cha ccm na si katiba mpya ya wananchi ipitisheni tu mbona ni chama,hata haimugusi mtu hapa kwani imeona yanayojadiliwa ni ya Rasimu ya katiba ya nchi au, umelaza akili yako kiccm?ya ccm jadilini muwe na amani sawa?
 
Kila mwana CCM akisimama anakosoa na kupinga takwimu za rasimu ya Warioba;;sasa tujiulize wanakwenda kujadili nini wakati hawaamini takwimu za tume?
Je,CCM wanaamini sura ipi na ipi kwenye rasimu kwamba ina takwimu sahihi?

CCM rudini kwenye rasimu na Ukawa rudini bungeni mshindane kwa hoja.
 
Katiba mpya ya Watanzania itapatikana kwa ridhaa yetu wananchi na si ukawa maana hatua ya mwisho rasimu hiyo italetwa kwetu kwa ajili ya kuipigia kura.
 
Back
Top Bottom