UKAWA, radio calls ni LAZIMA

UKAWA, radio calls ni LAZIMA

mkuu ww mgeni nn Tz? Kama mpaka leo wale walioiba hela za escrow kwa marumbesa hawajatajwa itakuwa kuiba kura washindwe?

Namimi Mkuu Nasema Hivi Kwenye Escrow Wakala Wa Upinzani Alikuwepo?Hakuwepo.Lakini Kwenye Uchaguzi Tar 25Oct Mawakala Wenu Watakuwepo Kama Wataiba Mawakala Wenu Watakuwa Pia Wameshiriki Kuwasaliti Na Kwenye Wizi Huo....
 
Mkuu Kunataa Maalumu Tayari Zimeshaandaliwa Katika Kituo Iwapo Umeme Ukikatika.Pili,kwenye Vituo Vikuu Vya Kufanya Majumuisho Kuna Majenereta Kila Kituo.Tatu,ukawa Niwaulize "kwanini Hamjiamini?"

Wanaogopa goli la mkono maana linauma
 
Back
Top Bottom