UKAWA, radio calls ni LAZIMA

UKAWA, radio calls ni LAZIMA

Sawa Ukawa kama Nyumbu lakini Nyumbu atampigia kura LOWASA
 
Ni wazi October 25 patakuwa na tatizo la simu kwa hivyo kama Ukawa hamjajipanga kwa radio calls sisi wapiga kura wenu hatutawaelewa kuhusu kuhusu kuhujumiwa. ..

Mia.
Radio Calls ni rahisi ku intercept. Muhimu wanunue Taa za solar kama shughuli itaendelea usiku. Nimesoma mahali inasema umeme ukikatika maboksi yote ya kura yanahamishiwa makao makuu ya mkoa kwenda kuhesabiwa
 
Radio Calls ni rahisi ku intercept. Muhimu wanunue Taa za solar kama shughuli itaendelea usiku. Nimesoma mahali inasema umeme ukikatika maboksi yote ya kura yanahamishiwa makao makuu ya mkoa kwenda kuhesabiwa

Mkuu Kunataa Maalumu Tayari Zimeshaandaliwa Katika Kituo Iwapo Umeme Ukikatika.Pili,kwenye Vituo Vikuu Vya Kufanya Majumuisho Kuna Majenereta Kila Kituo.Tatu,ukawa Niwaulize "kwanini Hamjiamini?"
 
Mkuu Kunataa Maalumu Tayari Zimeshaandaliwa Katika Kituo Iwapo Umeme Ukikatika.Pili,kwenye Vituo Vikuu Vya Kufanya Majumuisho Kuna Majenereta Kila Kituo.Tatu,ukawa Niwaulize "kwanini Hamjiamini?"

Mkuu hatujiamini kwa sababu wale ni wezi.
 
Ni wazi October 25 patakuwa na tatizo la simu kwa hivyo kama Ukawa hamjajipanga kwa radio calls sisi wapiga kura wenu hatutawaelewa kuhusu kuhusu kuhujumiwa. ..

Mia.

Zitasajiliwa na serikali ya ccm mwezi wa November.
 
Akili za wanaukawa kama za nyumbu.
mwenye akili za kuiba mali ya umma,kukumbatia rushwa,kutorosha wanyama,kuua tembo,kuuza madawa ya kulevya,kutokufanya maamuzi magumu watu wanapoifisadi nchi na NYUMBU nani ana akili.nimjuavyo nyumbu ni mstaarabu sana kuliko baadhi ya viongozi tulio wapa dhamana ya taifa hili wenye PHD za kimagumashi.
 
Mkuu Kunataa Maalumu Tayari Zimeshaandaliwa Katika Kituo Iwapo Umeme Ukikatika.Pili,kwenye Vituo Vikuu Vya Kufanya Majumuisho Kuna Majenereta Kila Kituo.Tatu,ukawa Niwaulize "kwanini Hamjiamini?"

mkuu ww mgeni nn Tz? Kama mpaka leo wale walioiba hela za escrow kwa marumbesa hawajatajwa itakuwa kuiba kura washindwe?
 
Ni wazi October 25 patakuwa na tatizo la simu kwa hivyo kama Ukawa hamjajipanga kwa radio calls sisi wapiga kura wenu hatutawaelewa kuhusu kuhusu kuhujumiwa. ..

Mia.

Mnajitisha bure.kila mlichotaka mmekubaliwa lakini kura hazitatosha
 
Back
Top Bottom