UKAWA ni upepo tu, kisha utapita

UKAWA ni upepo tu, kisha utapita

tata mura

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2012
Posts
275
Reaction score
49
Nimetafakari sana na kushindwa kuelewa lengo la Ukawa ni nini?

Napenda kujiridhisha kwa kusema kuwa, kiongozi na mshawishi mkuu wa Ukawa yupo nje ya Bunge Maalum Katiba.

Hivyo tunapo washauri warudi Bungeni inakuwa ni kazi bure, kwa sababu mhusika Mkuu wa UKAWA harusiwi kuingia Bungeni kwani si mjumbe. Lipumba, Mbowe na Mbatia wanafuata mkumbo tu na wala si akili zao.

Kama zingekuwa zao wangekuwa wamesikiliza ushauri wa wananchi wa kurudi Bungeni, kwani tunaamini kuwa ya Bungeni husuruhiana huko huko.

Kwa mara nyingine kama kweli ni nyinyi tunaowafahamu basi rudini bungeni.
 
Nimetafakari sana na kushindwa kuelewa lengo la Ukawa ni nini?. Napenda kujiridhisha kwa kusema kuwa, kiongozi na mshawishi mkuu wa Ukawa yupo nje ya Bmk.Hivyo tunapo washauri warudi Bungeni inakuwa ni kazi bure, kwa sababu mhusika Mkuu wa Ukawa harusiwi kuingia Bungeni kwani si mjumbe. Lipumba,Mbowe na Mbatia wanafuata mkumbo tu na wala si akili zao. Kama zingekuwa zao wangekuwa wamesikiliza ushauri wa wananchi wa kurudi Bungeni,kwani tunaamini kuwa ya Bungeni husuruhiana huko huko. Kwa mara nyingine kama kweli ni nyinyi tunaowafahamu bas
 
Nimetafakari sana na kushindwa kuelewa lengo la Ukawa ni nini?. Napenda kujiridhisha kwa kusema kuwa, kiongozi na mshawishi mkuu wa Ukawa yupo nje ya Bmk.Hivyo tunapo washauri warudi Bungeni inakuwa ni kazi bure, kwa sababu mhusika Mkuu wa Ukawa harusiwi kuingia Bungeni kwani si mjumbe. Lipumba,Mbowe na Mbatia wanafuata mkumbo tu na wala si akili zao. Kama zingekuwa zao wangekuwa wamesikiliza ushauri wa wananchi wa kurudi Bungeni,kwani tunaamini kuwa ya Bungeni husuruhiana huko huko. Kwa mara nyingine kama kweli ni nyinyi tunaowafahamu basi rudini bungeni.
Mtaje sasa kama c umbea no nini,utavishwa siketi wewe malaya
A
 
Nimetafakari sana na kushindwa kuelewa lengo la Ukawa ni nini?. Napenda kujiridhisha kwa kusema kuwa, kiongozi na mshawishi mkuu wa Ukawa yupo nje ya Bmk.Hivyo tunapo washauri warudi Bungeni inakuwa ni kazi bure, kwa sababu mhusika Mkuu wa Ukawa harusiwi kuingia Bungeni kwani si mjumbe. Lipumba,Mbowe na Mbatia wanafuata mkumbo tu na wala si akili zao. Kama zingekuwa zao wangekuwa wamesikiliza ushauri wa wananchi wa kurudi Bungeni,kwani tunaamini kuwa ya Bungeni husuruhiana huko huko. Kwa mara nyingine kama kweli ni nyinyi tunaowafahamu basi rudini bungeni.

Ni upepo na utang'oa CCM unapopita.
 
Acha sasa utajua ukawa na ccm niwaelewa zaidi yako.lazima wakubali kuahirisha bunge subiri wamalize malumbano dodoma maana sio kikao in such.
 
wewe tata mura ni shoga eeh,ki baby wa kinana na wassira,jaman ifike wakati na ndio huu tuipende nchi yetu,ccm baaaaaaaaaaaskumaccm
 
Kosa walilofanya ukawa ni kumuingiza Mbatia pale hesabu za CCM zilikwenda sawa hawakufanya kosa kumpa ubunge
 
Nimetafakari sana na kushindwa kuelewa lengo la Ukawa ni nini?

Napenda kujiridhisha kwa kusema kuwa, kiongozi na mshawishi mkuu wa Ukawa yupo nje ya Bunge Maalum Katiba.

Hivyo tunapo washauri warudi Bungeni inakuwa ni kazi bure, kwa sababu mhusika Mkuu wa UKAWA harusiwi kuingia Bungeni kwani si mjumbe. Lipumba, Mbowe na Mbatia wanafuata mkumbo tu na wala si akili zao.

Kama zingekuwa zao wangekuwa wamesikiliza ushauri wa wananchi wa kurudi Bungeni, kwani tunaamini kuwa ya Bungeni husuruhiana huko huko.

Kwa mara nyingine kama kweli ni nyinyi tunaowafahamu basi rudini bungeni.

Wakati Mchakato wa Katiba unaanza Chadema waliuponda sana hasa tume iliyokuwa ikiongozwa na Jaji Joseph S> Waryoba, lakini ulipo kamilika Chadema wakauchukulia kidedea kama kauli mbiu yao. Kesho tusishangae na kurudi tena na Kauli ya kusifia Bunge maalumu la Katiba linalomaliza wakati wake na watakuwa wa kwanza kupongeza tume yote na kuipa Uadilifu. Siasa
 
Wakati Mchakato wa Katiba unaanza Chadema waliuponda sana hasa tume iliyokuwa ikiongozwa na Jaji Joseph S> Waryoba, lakini ulipo kamilika Chadema wakauchukulia kidedea kama kauli mbiu yao. Kesho tusishangae na kurudi tena na Kauli ya kusifia Bunge maalumu la Katiba linalomaliza wakati wake na watakuwa wa kwanza kupongeza tume yote na kuipa Uadilifu. Siasa

Nyie kweli ni maskini na mafukara wa fikra,tuondoleeni uzuzu wenu hapa.
 
Nimetafakari sana na kushindwa kuelewa lengo la Ukawa ni nini?

Napenda kujiridhisha kwa kusema kuwa, kiongozi na mshawishi mkuu wa Ukawa yupo nje ya Bunge Maalum Katiba.

Hivyo tunapo washauri warudi Bungeni inakuwa ni kazi bure, kwa sababu mhusika Mkuu wa UKAWA harusiwi kuingia Bungeni kwani si mjumbe. Lipumba, Mbowe na Mbatia wanafuata mkumbo tu na wala si akili zao.

Kama zingekuwa zao wangekuwa wamesikiliza ushauri wa wananchi wa kurudi Bungeni, kwani tunaamini kuwa ya Bungeni husuruhiana huko huko.

Kwa mara nyingine kama kweli ni nyinyi tunaowafahamu basi rudini bungeni.

Tata mura unavyojua kujamba povu kwa kinywa chako hongera zako gamba.
 
Amini usiami mwisho wa Ukawa ni tarehe 04/10/2014. Baada ya hapo kama watahitaji kuendelea kujiita Ukawa ni bora wajisajiri kama Chama. Fikiria hadi sasa akipanda jukwaani anavutia Chama chake, je unafikiri 2015 Viongozi watakubali kuachiana?
 
Back
Top Bottom