UKAWA ni timu ya Taifa!

UKAWA ni timu ya Taifa!

Kaguta

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2013
Posts
414
Reaction score
504
Ukianzia Lindi kwa Baruan hadi Biharamlo kwa Mbassa, ukitoka Kigoma kusini kwa Kafurila hadi Pemba kwa Mnyaa, Kasikazini kwa Mbowe mpaka Tabora kwa Lipumba. Wengi wamebeza lakini wanaobeza ni wale amabao hatukutegemea watupongeze. Sisi tunaendelea kukakata anga na nchi kavu kulikomboa taifa letu, hatutarudi nyuma maana kelele tunazosikia toka kwa adui ni kwa sababu kisu kinaingia kwenye mfupa!

Ni wapi utapata wataalam wa sheria kama Lissu, Jussa na Prof Safari? Ni wapi utapata utaalam wa kutukuka wa uchumi kama Prof Lipumba? Ni wapi utapata msomi mzalendo kama Dr Slaa, Ni wapi utapata vijana wazalendo wanaoipenda nchi yao kama Lema, Mtatiro, Mnyika, Kafurila, Machali na Mkosamali? Wapi utapata Simba wa siasa kama Maalimu Seif?

Najiuliza utapata wapi akina mama wapiganaji kama Mdee, Sakaya, Abwao, Faida Bakari, Kuruthum, Kamili na Gekul? Akina mama ambao wako tayari kuacha watoto na waume zao wakaenda kuandamana kwa ajili ya kupigania haki na usawa wa nchi hii. Na huko wanaishia kaambulia vipigo, kuswekwa ndani na kudhalilishwa, ama kweli kikosi hiki ni kama timu ya taifa. Na kuanzia sasa napendekeza kiitwe UKAWA aka TIMU YA TAIFA.
 
Ukianzia Lindi kwa Baruan hadi Biharamlo kwa Mbassa, ukitoka Kigoma kusini kwa Kafurila hadi Pemba kwa Mnyaa, Kasikazini kwa Mbowe mpaka Tabora kwa Lipumba. Wengi wamebeza lakini wanaobeza ni wale amabao hatukutegemea watupongeze. Sisi tunaendelea kukakata anga na nchi kavu kulikomboa taifa letu, hatutarudi nyuma maana kelele tunazosikia toka kwa adui ni kwa sababu kisu kinaingia kwenye mfupa!

Ni wapi utapata wataalam wa sheria kama Lissu, Jussa na Prof Safari? Ni wapi utapata utaalam wa kutukuka wa uchumi kama Prof Lipumba? Ni wapi utapata msomi mzalendo kama Dr Slaa, Ni wapi utapata vijana wazalendo wanaoipenda nchi yao kama Lema, Mtatiro, Mnyika, Kafurila, Machali na Mkosamali? Wapi utapata Simba wa siasa kama Maalimu Seif?

Najiuliza utapata wapi akina mama wapiganaji kama Mdee, Sakaya, Abwao, Faida Bakari, Kuruthum, Kamili na Gekul? Akina mama ambao wako tayari kuacha watoto na waume zao wakaenda kuandamana kwa ajili ya kupigania haki na usawa wa nchi hii. Na huko wanaishia kaambulia vipigo, kuswekwa ndani na kudhalilishwa, ama kweli kikosi hiki ni kama timu ya taifa. Na kuanzia sasa napendekeza kiitwe UKAWA aka TIMU YA TAIFA.

hapo kwenye red., wameacha wake zao wanaenda kukatishwa safari na kina mbowe na kwenda kuvinjari nao dubai...refer the joyce mukya saga
 
hapo kwenye red., wameacha wake zao wanaenda kukatishwa safari na kina mbowe na kwenda kuvinjari nao dubai...refer the joyce mukya saga

We pepeta vipi ,bona umeishupalia sana hii habari roho inakuuma sana? Au nna wewe ulikuwa una mtaka mkya ukapewa za uso, kama una maumivu mfate mwehu mwenzio akakupeleke kule anako pata vitoto vya shule alivyo viachia ukimwi.
 
Tutacheza 4 - 3 -3; mfumo unaweza kubadilika na kuwa 4-5-1 wakati tunazuia kwani wingi zote mbili zitapanda na kushuka ili kuhakikisha CCM hawapenyi ngome yetu kwa pesa au kwa hujuma.

Tuna winga wanaoweza kupanda na kushuka kwa kasi ya ajabu na mfumo wetu utabadilika na kuwa 4-1-5 wakati tunashambulia, hapa naongelea mawinga Jussa na Lissu kuongeza mashambulizi mbele.

Beki ya kati yaani Central Defenders watakuwa ma-staa Profesa Lipumba na DR. Slaa kuhakikisha wanacheza mipira yote ya juu na chini. Beki wa Kushoto tunakuwa na Profesa Safari na Mabere Marando - Kuhakikisha mipira yote toka kwa CCM haipenyizwi kabisa kwani ni wanasheria mahili mno.

Kiungo wakabaji a.k.a viungo wachezeshaji atakuwa ni Mnyika Johh na Mbatia - hawa watahakikisha timu inacheza mpira dakika zote 90 - Mbele tutakuwa na Kijana Mkosamali na Machali - kazi yao ni kufunga mabao tu.

Wakuu tuna first eleven nyingi sana, kuna kina Lema, Mch. Msigwa, Wenje, Mtatiro na Kafulila hawa ni Viungo mahili watakaokuwa Bechi la ufundi, Halima Mdee, Shilinde na Suzan pia watakuwa wakisubiri kuingia kuziba nafasi za washambuliaji muda wowote ule kama wakihitajika na benchi la ufundi la UKAWA.
 
Ukianzia Lindi kwa Baruan hadi Biharamlo kwa Mbassa, ukitoka Kigoma kusini kwa Kafurila hadi Pemba kwa Mnyaa, Kasikazini kwa Mbowe mpaka Tabora kwa Lipumba. Wengi wamebeza lakini wanaobeza ni wale amabao hatukutegemea watupongeze. Sisi tunaendelea kukakata anga na nchi kavu kulikomboa taifa letu, hatutarudi nyuma maana kelele tunazosikia toka kwa adui ni kwa sababu kisu kinaingia kwenye mfupa!

Ni wapi utapata wataalam wa sheria kama Lissu, Jussa na Prof Safari? Ni wapi utapata utaalam wa kutukuka wa uchumi kama Prof Lipumba? Ni wapi utapata msomi mzalendo kama Dr Slaa, Ni wapi utapata vijana wazalendo wanaoipenda nchi yao kama Lema, Mtatiro, Mnyika, Kafurila, Machali na Mkosamali? Wapi utapata Simba wa siasa kama Maalimu Seif?

Najiuliza utapata wapi akina mama wapiganaji kama Mdee, Sakaya, Abwao, Faida Bakari, Kuruthum, Kamili na Gekul? Akina mama ambao wako tayari kuacha watoto na waume zao wakaenda kuandamana kwa ajili ya kupigania haki na usawa wa nchi hii. Na huko wanaishia kaambulia vipigo, kuswekwa ndani na kudhalilishwa, ama kweli kikosi hiki ni kama timu ya taifa. Na kuanzia sasa napendekeza kiitwe UKAWA aka TIMU YA TAIFA.

Timu ya Taifa ya Tanganyika? Ya Zanzibar? au Tanzania?
 
Rev Mtikila na Dr Emannuel Makaidi wamejitoa UKAWA?, mbona hawaonekani tena majukwaani na kuzunguka na wenzao mikoani?.
 
Rev Mtikila na Dr Emannuel Makaidi wamejitoa UKAWA?, mbona hawaonekani tena majukwaani na kuzunguka na wenzao mikoani?.
Nafikiri ni Timu ya Akiba! Huwezi kumwaga kikosi kizima hadharani.
 
Ukianzia Lindi kwa Baruan hadi Biharamlo kwa Mbassa, ukitoka Kigoma kusini kwa Kafurila hadi Pemba kwa Mnyaa, Kasikazini kwa Mbowe mpaka Tabora kwa Lipumba. Wengi wamebeza lakini wanaobeza ni wale amabao hatukutegemea watupongeze. Sisi tunaendelea kukakata anga na nchi kavu kulikomboa taifa letu, hatutarudi nyuma maana kelele tunazosikia toka kwa adui ni kwa sababu kisu kinaingia kwenye mfupa!

Ni wapi utapata wataalam wa sheria kama Lissu, Jussa na Prof Safari? Ni wapi utapata utaalam wa kutukuka wa uchumi kama Prof Lipumba? Ni wapi utapata msomi mzalendo kama Dr Slaa, Ni wapi utapata vijana wazalendo wanaoipenda nchi yao kama Lema, Mtatiro, Mnyika, Kafurila, Machali na Mkosamali? Wapi utapata Simba wa siasa kama Maalimu Seif?

Najiuliza utapata wapi akina mama wapiganaji kama Mdee, Sakaya, Abwao, Faida Bakari, Kuruthum, Kamili na Gekul? Akina mama ambao wako tayari kuacha watoto na waume zao wakaenda kuandamana kwa ajili ya kupigania haki na usawa wa nchi hii. Na huko wanaishia kaambulia vipigo, kuswekwa ndani na kudhalilishwa, ama kweli kikosi hiki ni kama timu ya taifa. Na kuanzia sasa napendekeza kiitwe UKAWA aka TIMU YA TAIFA.

haitowafurahisha, jiandae na mitusi au kimbia haraka saana
 
Acha kuchafua jina la taifa letu kwa kuliweka pamoja na boko haramu ukawa ni genge ovu kama magenge mengine.
 
Back
Top Bottom