Nauliza hv Ukawa aliyewaloga nani?
Hebu tazama jimbo la Monduli watu hawana maji Lowasa kashindwa kufanya mabadiliko Leo hii anawadanganya eti analeta mabadiliko nchi nzima atayawezea wapi kama sio usanii tu?
Hapo unawalaumu ukawa au kikwete na ccm yake. Japo sio lazima hapo pawe ni monduli
Nauliza hv Ukawa aliyewaloga nani?
Hebu tazama jimbo la Monduli watu hawana maji Lowasa kashindwa kufanya mabadiliko Leo hii anawadanganya eti analeta mabadiliko nchi nzima atayawezea wapi kama sio usanii tu?
Nauliza hv Ukawa aliyewaloga nani?
Hebu tazama jimbo la Monduli watu hawana maji Lowasa kashindwa kufanya mabadiliko Leo hii anawadanganya eti analeta mabadiliko nchi nzima atayawezea wapi kama sio usanii tu?
Kila siku narudia kusema hakuna mmasai maskini kwenye hii dunia, ni namna mtu anavyoamua kupangilia maisha yake. Mmasai wa miaka 21 ana ngombe 120-150, kila dume asiye na afya ni shilingi 700,000 piga hesabu ya chini hapo ni sawa na millioni 70 kwa ngombe walio nenepa dume inaenda hadi 1.2M. Shida ya wamasai wengi ni kuwa hawajasoma kwahiyo wanashindwa namna ya kupanga pesa. Wamasai maskini wanaitwa ndorobo wao wanaishi maporini. Hakuna kijiji Tanzania nzima kilichoendelea kama Monduli lakini wamasai maisha yao hawapendi kujikweza kama watu wengine ndio maana wanaishi kama maisha ya shida.
Nenda anakotoka Magufuli uangalie hali ya watu wake halafu utuambiae ccm amewaloga nani.
Nauliza hv Ukawa aliyewaloga nani?
Hebu tazama jimbo la Monduli watu hawana maji Lowasa kashindwa kufanya mabadiliko Leo hii anawadanganya eti analeta mabadiliko nchi nzima atayawezea wapi kama sio usanii tu?
Wao hawahitaji mabadiliko chochote, wanahitaji hela yake tu
Kila siku narudia kusema hakuna mmasai maskini kwenye hii dunia, ni namna mtu anavyoamua kupangilia maisha yake. Mmasai wa miaka 21 ana ngombe 120-150, kila dume asiye na afya ni shilingi 700,000 piga hesabu ya chini hapo ni sawa na millioni 70 kwa ngombe walio nenepa dume inaenda hadi 1.2M. Shida ya wamasai wengi ni kuwa hawajasoma kwahiyo wanashindwa namna ya kupanga pesa. Wamasai maskini wanaitwa ndorobo wao wanaishi maporini. Hakuna kijiji Tanzania nzima kilichoendelea kama Monduli lakini wamasai maisha yao hawapendi kujikweza kama watu wengine ndio maana wanaishi kama maisha ya shida.
Naomba nikuulize mleta mada, hivi tatizo la maji liko Monduli tu au liko kona zote za Tanzania kuanzia vijijini hadi mijini? Je Lowassa amewahi kuwa Raisi wa Taifa hili? Ni lini alichaguliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa Tanzania? Ndio maana anaomba ridhaa ya kuiongoza Tanzania aweze kuleta mabadiliko tunayoyahitaji. Ngoja nikupe ushahidi wa ninachokisema;Nauliza hv Ukawa aliyewaloga nani?
Hebu tazama jimbo la Monduli watu hawana maji Lowasa kashindwa kufanya mabadiliko Leo hii anawadanganya eti analeta mabadiliko nchi nzima atayawezea wapi kama sio usanii tu?