UKAWA ni kituko

UKAWA ni kituko

Makupa

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
7,235
Reaction score
4,342
Inasikitisha sana tena sana eti ukawa wamejipanga kushinda uchaguzi utakaofanyika oktoba,2015.
 
Mbona una haraka sana?tulia kisha uandike vizuri au una naliuuu nini?
 
Nawaonea huruma sana nyinyi majamaa wa ccm na ninahisi mtakufa kifo kibaya sana
Siku inakuja na kitawapata kama kilicho mpata lowasa
Sii alikua anauhakika kama nyinyi
Siku yaja ambayo mtalia machozi ya damu na kusaga meno na tupointi twenu twa kitoto nasijui mtafanya nini.
 
ukawa ni moto wa mabua siku zao zinahesabika

Hauna tofauti na yule aliyejitokeza mbele ya umati wa watu eti Dr.Slaa na Prof Lipumba wa UKAWA wasivuruge AMANI YA TAIFA,eti kwa kugombea nafasi hizo kutahatarisha AMANI,sina uhakika kama unajua maana ya vyama vingi.Hakuna chama kitakachoingia kwenye uchaguzi halafu kiseme kitashindwa.Hata Maembe Lijua anashinda kwa asilimia 100 na mpaka jimboni kwake ati wajiandae kumpokea kama RAIS wa Tanzania.

Pole zako wee
 
...mshalegea bado kukakishwa tu October....
 
Yaani hii nchi cjui nani kailoga na watu wake
Yaani tumesha sahau
ESCROW
EPA
RICHMOND
KAGODA
BUZWAGI
MEREMETA
TEMBO KUUAWA
TWIGA KUPANDA NDEGE
MISAMAHA YA MADINI
MISWADA YA HOVYO YA GESI NA MAFUTA
KUPANDISHWA HOVYO BEI YA MAFUTA
WATOTO KUKAA CHINI
AKINA MAMA KUZALIA CHINI
MATAJIRI KUTHAMINIWA
UBOVU WA BARABARA
UBOVU WA RELLI
UHABA WA MAJI SAFI NA SALAMA
KUUZWA BENKI YA TAIFA
KUUZWA KWA SHIRIKA LA NDEGE
KUUZWA KWA NYUMBA ZA TAIFA
KIWIRA COAL MINE
UKOSEFU WA DAWA HOSPITALI ZA UMMA
KUSHUKA KWA ELIMU
MIGOMO YA WAALIMU NA MADAKTARI
MIGOMO YA WANAFUNZI
MIGOGORO YA ARDHI KUTOKANA NA SERIKALI
KUWATHAMINI WAWEKEZAJI WA KIGENI
KUHODHI VIWANJA VYA MICHEZO
KUHODHI MAJJENGO YA UMMA
KULINDA WEZI, MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI
KUUA VIWANDA ALIVYO VIJENGA MWALIMU
NYERERE
KUUA MASHIRIKA YA UMMA
KUONGEZA MATABAKA KWA WANANCHI
KUUA WANAHARAKATI NA WAANDISHI WA HABARI
( MWANGOSI)
KUPITISHA RASIMU ISIO YA MUAFAKA
ILIYO
FEKI
HIvyo basi,
nashangazwa na watu waelewa humu wanaosema
magufuli jembe
Wakati yupo serikalini tangu 1995
Ndani ya ccm
Nani ametuloga ??
Hapa magufuli ni pombe ile ile kwenye chupa
mpya.
Maskini Tz
Au elimu ya uraia tatizo ???
 
inasikitisha sana tena sana eti ukawa wamejipanga kushinda uchaguzi utakaofanyika oktoba,2015.

huamini nani anaenda vitani anadai atashindwa kuwa makini

ukawa ni moto wa mabua siku zao zinahesabika

mbona una haraka sana?tulia kisha uandike vizuri au una naliuuu nini?

sema:-

nimechoka kuuawa, nimechoka kuibiwa, nimechoka kuteswa na kunyanyaswa ndani ya
nchi yangu, nimechoka kuitwa mpinzani nimechoka kudharauliwa.

Sitaki tena utumwa ndani ya nchi yangu, sasa ni mimi na tanzania hapana ccm
octoba 2015

 
Mmeona magufuri ndio mwisho wa shida zenu safi
 
Sio wote hawa ni wachache waliokalia penye mirija wananyonya taratiibu bila vigezo hivyo wanajua ukawa wakiingia watapotelea mbali. Wanatetea vitumbua vyao.
 
...mkuu PNC wala usishangae hao ndo wachagua sura, ndo maana leo magufuli kawaambia sura yàke sio nzuri ila ya makamu wake ni nzuri wakashangilia, Tanzania ni ajabu la nane la dunia....
 
Last edited by a moderator:
kuwen makin nyie ccm, kwanini kuropokaropoka? Hv mmemtoa yule mzee wenu mliemfungia ndani? Halaf mnajidai mnademokrasia
 
...mkuu PNC wala usishangae hao ndo wachagua sura, ndo maana leo magufuli kawaambia sura yàke sio nzuri ila ya makamu wake ni nzuri wakashangilia, Tanzania ni ajabu la nane la dunia....

Hahaaaa....... nimecheka sana aisee et tz n ajab la nane du!
 
Last edited by a moderator:
Yaani hii nchi cjui nani kailoga na watu wake
Yaani tumesha sahau
ESCROW
EPA
RICHMOND
KAGODA
BUZWAGI
MEREMETA
TEMBO KUUAWA
TWIGA KUPANDA NDEGE
MISAMAHA YA MADINI
MISWADA YA HOVYO YA GESI NA MAFUTA
KUPANDISHWA HOVYO BEI YA MAFUTA
WATOTO KUKAA CHINI
AKINA MAMA KUZALIA CHINI
MATAJIRI KUTHAMINIWA
UBOVU WA BARABARA
UBOVU WA RELLI
UHABA WA MAJI SAFI NA SALAMA
KUUZWA BENKI YA TAIFA
KUUZWA KWA SHIRIKA LA NDEGE
KUUZWA KWA NYUMBA ZA TAIFA
KIWIRA COAL MINE
UKOSEFU WA DAWA HOSPITALI ZA UMMA
KUSHUKA KWA ELIMU
MIGOMO YA WAALIMU NA MADAKTARI
MIGOMO YA WANAFUNZI
MIGOGORO YA ARDHI KUTOKANA NA SERIKALI
KUWATHAMINI WAWEKEZAJI WA KIGENI
KUHODHI VIWANJA VYA MICHEZO
KUHODHI MAJJENGO YA UMMA
KULINDA WEZI, MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI
KUUA VIWANDA ALIVYO VIJENGA MWALIMU
NYERERE
KUUA MASHIRIKA YA UMMA
KUONGEZA MATABAKA KWA WANANCHI
KUUA WANAHARAKATI NA WAANDISHI WA HABARI
( MWANGOSI)
KUPITISHA RASIMU ISIO YA MUAFAKA
ILIYO
FEKI
HIvyo basi,
nashangazwa na watu waelewa humu wanaosema
magufuli jembe
Wakati yupo serikalini tangu 1995
Ndani ya ccm
Nani ametuloga ??
Hapa magufuli ni pombe ile ile kwenye chupa
mpya.
Maskini Tz
Au elimu ya uraia tatizo ???

Shilingi kushuka thamani
BRN imewashinda
BVR inasuasua
Katiba mpya wameivuruga
Wawekezaji wakubwa ni wakenya n kushindwa kuwathamini wawekezaji wazawa
 
Back
Top Bottom