Arnold Ringo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 2,318
- 394
....Unanifananisha na Ephata Nanyaro anayejifanya mwenyeji wa Dr.Slaa Arusha.
Uwanja umefurika watu niwengi, kama ccm baado mnaiwaza Arusha imekula kwenu Arusha watu wanajitambua Serekali 3 ndio habari ya mjini kwa sasa.. Tumeanza na Mungu tupo na Mungu natutamaliza na Mungu....
leo ni siku nzuri ya vibaka wa arusha kufanya uporaji ndio maana wamefurahi sana
Tupia picha waoneAcha unafki nenda kaishi na mende wa choon,
Mlisema hivyo hivyo tukawapiga mimba kwenye udiwan,
Nikuambie ww choo ccm arusha hakuna limebaki jina tu
hii habari ina kaharufu fulani si kazuri kama ka msalani vile au mwandishi katoka msalani bila kunawa????Naona msafara wa Dr.Slaa na gari la matangazo ndio unaingia jiji la Arusha. Tayari kwa mkutano utakaofanyika leo saa tisa katika viwanja vya samunge. Mzee Slaa akiwa ndani ya gari aina ya landcruiser nyeupe. Anaonekana mdhoofu wa mwili. Huku akijaribu kuwapungia wananchi ambao hawakuwa na hamasa ya kumpungia pia.
Arusha ya sasa sio ile zamani watu hawana muda na Chadema. Kila mmoja yuko bize na kutafuta riziki yake.
Atakuwa ametangaziwa posho na wazee wa lumumba.!makubwa tangu lini na wewe umekuwa ukiripoti habari za chadema?
Ofisi leo zimefungwa mapema mno....Watu wana miminika viwanja vya Samunge....
Watu wanahamasa sana..
Atakuwa ametangaziwa posho na wazee wa lumumba.!
...lol!!!! Mimi pia nilitaka kumuuliza swali hilo hilo, hii ni dalili ya kuweweseka kuhusu nguvu ya UKAWA kuelekea 2015. Tutaona na kusikia mengi sana dhidi ya UKAWA.
Naona msafara wa Dr.Slaa na gari la matangazo ndio unaingia jiji la Arusha. Tayari kwa mkutano utakaofanyika leo saa tisa katika viwanja vya samunge. Mzee Slaa akiwa ndani ya gari aina ya landcruiser nyeupe. Anaonekana mdhoofu wa mwili. Huku akijaribu kuwapungia wananchi ambao hawakuwa na hamasa ya kumpungia pia.
Arusha ya sasa sio ile zamani watu hawana muda na Chadema. Kila mmoja yuko bize na kutafuta riziki yake.
Mimi nilikuwa nimesimama hapa mitaa ya Metropole nje ya duka langu, nashangaa naona mtu kama BABU ananipungia. Ikabidi niangalie pembeni.