Ukawa na ukombozi wa tanzania

Ukawa na ukombozi wa tanzania

mozes

Senior Member
Joined
Jan 11, 2012
Posts
115
Reaction score
21
Umoja wa Katiba ya wananchi ni vuguvugu jipya kuwahi kutokea Tanzania, kitendo cha vyama vikuu vya upinzani kuwa pamoja ni tendo jema lenye mwelekeo wenye nguvu kuiondoa CCM madarakani lakini wasiwasi wangu ni juu umoja wa kundi hili. Je, ni kweli kuwa wataweza kumsimamisha mgombea urais mmoja? Tanzania tumekua na viongozi waliovaa joho la uzalendo lakini wengi wao sio wazalendo sasa UKAWA wanaweza kuwa wazalendo kama wanavyojitanabaisha? Ili tuwe na ukombozi wa kweli katika TZ lazima ukawa wabebe agenda mbili muhimu 1. Katiba na tume huru ya uchaguzi 2. Daftari la wapiga kura liboreshwe. Hapo ukombozi ni wazi la sivyo ni jeramba mlimani
 
nimewaona ukawa itv sa2 taarifa ya habari wakiwa makambako kwakweli wanatisha
 
umoja wa katiba ya wananchi ni vuguvugu jipya kuwahi kutokea tanzania, kitendo cha vyama vikuu vya upinzani kuwa pamoja ni tendo jema lenye mwelekeo wenye nguvu kuiondoa ccm madarakani lakini wasiwasi wangu ni juu umoja wa kundi hili. Je, ni kweli kuwa wataweza kumsimamisha mgombea urais mmoja? Tanzania tumekua na viongozi waliovaa joho la uzalendo lakini wengi wao sio wazalendo sasa ukawa wanaweza kuwa wazalendo kama wanavyojitanabaisha? Ili tuwe na ukombozi wa kweli katika tz lazima ukawa wabebe agenda mbili muhimu 1. Katiba na tume huru ya uchaguzi 2. Daftari la wapiga kura liboreshwe. Hapo ukombozi ni wazi la sivyo ni jeramba mlimani

mungu ibariki ukawa,mungu ibarki tanzania ipate uhuru tumechoka kunyonywa na mkoloni mweusi
 
Wataanza kukamatana wizi sasa hivi.

Uliona wapi mafahali watatu wakaishi zizi moja?
 
ukawa itasambaratika soon

mmetenga bajeti kiasi gani cha kuwanunua?coz hilo ndo mnaloliweza.mmeshaanza kupandikiza watu na mabango katika mikutano yao ushetani wenu unakaribia mwisho
 
mmetenga bajeti kiasi gani cha kuwanunua?coz hilo ndo mnaloliweza.mmeshaanza kupandikiza watu na mabango katika mikutano yao ushetani wenu unakaribia mwisho

Wameanza kuwatumia vijana wavuta bange wasiyojielewa wanawapa elfu 20 kila mmoja na kuwabebesha mabango. Aibu kweli juu ya Interahamwe.
 
Back
Top Bottom