kiongozi mau
Member
- Jul 6, 2014
- 25
- 0
Ukawa umeibuka dodoma na kuanza mikutano zanzibar, swali langu je vyama vyao vilikaa vikao gani kuizinisha muungano wa ukawa? Maana sijasikia baraza kuu la cuf, cdm wala nccr je muungano una baraka za nani? Na kwa maslai ya nani? Nyie wanachama wa vyama hivyo munautambua uhuni huu? Nawasilisha