UKAWA mshawishini Makongoro Nyerere

UKAWA mshawishini Makongoro Nyerere

nkongo

Member
Joined
Dec 9, 2011
Posts
84
Reaction score
14
Ili kuiondoa ccm madarakani mnapaswa kuimega ccm na ili muweze kufanya hilo mpeni nafasi ya urais makongoro .
 
Dr anatosha saizi unaona kama Upepo uko ccm baba wewe ngoja kampeni zianze ndipo utafurahi kuwa UKAWA ni noma
 
Msidharau maneno ya kambarage aliyosema kuwa upinzani wa kweli utatoka ccm.
 
Ili kuiondoa ccm madarakani mnapaswa kuimega ccm na ili muweze kufanya hilo mpeni nafasi ya urais makongoro .
Ndo uwezo wa ubongo wako kufikiri unajitekenya kisha unacheka mwenyewe kwa akili yako mto unaweza kukauka kwa kuchota ndoo ya maji?uyu jamaa cjui nani ..unayemtaja ni maarufu na anakubalika kuliko Zitto?
 
Makongoro yule hana mpango na Urais alingia tu kutibua mipango ya Lowasa.UKAWA ina wanachama wanaofaa kuwa marais wengi tu
 
Back
Top Bottom