mtayeshelwa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 1,170
- 390
Wewe uliefukuzwa UDM ndiyo kazi ambayo utafanya maana huna namna nyingine zaidi ya kufuata kazi ya mama yako ya kuuza 0712.Hakuna haja ya kuendelea kuongea na ukoo wa mahanithi, sababu mamaako ameshazoea kuuza tigo, unadhani kila mtu. Mammae mtauza utumbo sana mwaka huu.
Sasa ww mama yako nambandua na ww tena unataka nikubandue, sasa hii laana me ntaiwezea wapi.Usinichukie mimi mchukie mama yako aliyeuza Tigo akazaa toto jinga kama wewe ambalo kazi yake ni ni kulam,ba miguu ya mafisadi.
umeolewa ama bado upo single? Kitwanga anatafuta mlevi mwenzakeId yenyewe inasomeka kilaza..sasa bado kuna swali?Mkuu endelea kuuza line zako za mtandao wa tigo maana ndiyo kazi uliyo izoea.
Hapana mkuu nimemuoa mama yako..na sasa hivi tupo tunakutafutia mdogo wako maana wewe mama yako anakulalamika kwamba wewe ni kilaza na muuza tigo .subiri kidogo nimalizane na mama yako nitakuja.umeolewa ama bado upo single? Kitwanga anatafuta mlevi mwenzake
Akapimwe akili mama yako, umekunywa maji ya Bendera ya kijani.Mkuu we kweli kilaza tena siyo kilaz ni kiazi kilicho oza,Mkuu unaonekana ulidumaa akili ukiwa tumboni mwa mama yako..upinzani upi huo unaozungumzia upinzani wa kuzungusha mikono..kapimwe akili
Mkuu watu ambao hawajaamua kushikiwa akili wamekuelewa mkuu. Baada ya uchaguzi wa 2010 CDM walikuja nzito ya katiba ambayo kama ingefanikiwa ingeleta faida kubwa sana kwenye chama lkn pia kwa wananchi, lkn pia japo haikufanikiwa lkn mchakato ile umewapa faida mkubwa ikiwemo kuibuka kwa UKAWA.Mimi sipendi wala sitaki siasa zenye mwendelezo wa matukio lazimishi bila vision.
Kwa ujumla watanzania makini wanashindwa kuelewa muelekeo wa siasa za upinzani ndani ya nchi hii.
Sina uhakika kama wakuu wa ukawa wakiongozwa na CHADEMA kama wanaliona hili, lakini ni ukweli ulio wazi kwamba kuna ombwe kubwa la uongozi ndani na nje ya bunge letu tukufu.
Nje ya bunge ni kama hakipo ilhali ndani ya bunge ni ziro .
Nalazimika kuamini kwamba huenda Zuberi zitto kabwe na Dk wilbroad slaa ndio waliokuwa nguzo kuu ya uongozi wa chama hicho.kwani tangu viongozi hao kujiengua ndani ya CHADEMA, chama kimepwaya kama ndege yenye rubani bila kapteni.
CHADEMA imeongeza idadi kubwa ya wabunge lakini hakuna miongoni mwao anayeonekana kuwa na uwezo wa kujenga hoja kama ilivyokuwa enzi za Dk slaa na Zitto kabwe.
Upinzani bungeni una serkali kivuli bungeni,lakini imekuwa dormant. Ni kama haipo au kama ipo basi inafuata ushauri wa mtu au kundi fulani lenye malengo yake tofauti na lengo halisi la kambi rasmi ya upinzani bungeni.
Mawaziri wake wamekosa uwezo na weledi wa kukusanya taarifa mbalimbali muhimu zinazovutia, zinazoweza kuitwa taarifa mbadala za baraza la Mawaziri kivuli wa kambi ya upinzani bungeni.
Badala yake Mawaziri kivuli wamebaki kutumia taarifa za matukio yaliyopita bila kutoa. .way forward, mwelekeo wa wapi sasa kama taifa tunapaswa kuelekea kisera na kisekta. Pamoja na kulalamika kwamba CCM wamepora sera zenu. Lakini mbona hamziendelezi katika hotuba mbadala zenu ili wananchi tuwaelewe na kuamini mnayoyasema?
Kwamba Server ya sera hizo mnazo?
Badala yake sasa mmebaki na na kukariri historia ya escrow, uuzwaji nyumba za serikali, bungeni live, nk.
Hakuna jipya la kuishauri serkali, au hata jipya la kuwashauri watanzania badala yake mmekuwa watu wa HARAKATI bungeni.wakati mnaelewa kabisa mnawawakilisha wapiga kura majimboni kwenu.sikatai au watanzania hawakatai msikemee au kufichua maovu yoyote ndani ya nchi yetu, huo ndio hasa wajibu wenu, Lakini changamoto hapa ni kwamba muwe mnakuwa na njia mbadala pale mnapokosoa ni vema kuwa na ubunifu wa njia au sera mbadala badala ya kugeuka wapingaji badala ya wapinzani.
Muwakumbuke wapiga kura wenu kuhusu maisha bora kule waliko miundombinu ya barabara, madawati, madawa, na hata walimu bora na sio bora walimu kama hili sakata la udom sasa hivi mnapolifanya kuwa mtaji wenu kisiasa au uklfichwaji wa sukari.
Mjipange kabla ya kukurupuka, mfano waziri kivuli mambo ya ndani anapokwenda kusoma taarifa ya uuzwaji nyumba za serikali. Wakati mnaye msemaji rasmi kambi ya upinzani bungeni wa wizara ya ujenzi, uchukuzi na mawasiliano wapi na wapi?
Kwa hiyo mnapojiandaa kufanya kile mnachoamini nyinyi kama kuishitaki serikali kwa wananchi, pia mjiulize hao wananchi kweli kero yao kubwa ni ipi kati ya rushwa, ubadhirifu, elimu bora, madawa hospitali za umma,barabara, na miundombinu ya reli? ?
Au bunge live Wakati asilimia kubwa ya wananchi wenu au wapiga kura wenu wakiwa wanatumia vibatali bila umeme wa kuangalia hiyo television?
Ingawa ukweli huwa ni mchungu kuukubali mimi nimeanza kwa kuwakumbusha kwamba pamoja na bungeni live.lakini hiyo si kipaumbele cha walalahoi wa nchi hii, bali bungeni live huenda ikawa Ni mtaji zaidi kwenu kutegemea na matakwa ya wafadhili wenu ili waweze kuwaona mkitimiza kile walichowatuma live!
Ila pia muelewe karata hii ni kamari mnataka kuicheza. ...ikila kwenu hili mlitambue nikiwakumbusha mh kafulira alivyoweza kutuibulia masuala nyeti ya kutaifa Lakini akawa mzito jimboni kurudi kuwajulia kero wapiga kura hatimae kilichojiri Ni historia.
Najua kuna matusi yatakuja hapa ila nimetimiza wajibu wangu kama mtanzania commonmwananchi karibuni tuchangie
Kama wewe umekunywa mikojo ya fisadi Lowassa siyo wote mkuu,Msigwa ndiyo alisema wanaomuunga mkono wote Lowassa wakapimwe akili.. mama yangu hajawahi kumuujnga mkono fisadi lowassa hivyo kwenye hilo kundi la wapimwa akili hayumo.Akapimwe akili mama yako, umekunywa maji ya Bendera ya kijani.
Humu nawaomba mpunguze jazba kwani matusi ya aina hii yanaekekea kuwa hoja rasmi za ukawa na si busara kutukana mtu kwenye public media. ..ndio maana naeakumbusha makosa ya kimtandao yanaweza kuwahusu please. ....Akapimwe akili mama yako, umekunywa maji ya Bendera ya kijani.
wewe mkata viuno wa lumumba kuwa na adabu,, unajua mama yako yuko wapi muda huu na nan? acha kujikojolea weweKama wewe umekunywa mikojo ya fisadi Lowassa siyo wote mkuu,Msigwa ndiyo alisema wanaomuunga mkono wote Lowassa wakapimwe akili.. mama yangu hajawahi kumuujnga mkono fisadi lowassa hivyo kwenye hilo kundi la wapimwa akili hayumo.
Na wewe ni walewale tu waliokunywa maji ya bendera ya kijaniHumu nawaomba mpunguze jazba kwani matusi ya aina hii yanaekekea kuwa hoja rasmi za ukawa na si busara kutukana mtu kwenye public media. ..ndio maana naeakumbusha makosa ya kimtandao yanaweza kuwahusu please. ....
Aaaa kumbe wewe ni muuza tigo wa ufipa asante kwa taarifa..Kuhusu mama yako niko naye hapa tunakutafutia mdogo wako wewe umekuwa kiazi,Namjibu mpumbavu kutokana na upumbavu wake mwenyewe.wewe mkata viuno wa lumumba kuwa na adabu,, unajua mama yako yuko wapi muda huu na nan? acha kujikojolea wewe
Unajua maana ya kujenga hoja..Unapomuongelea Slaa usiache kumuongelea Spika Samuel Sitta... Pia umesahau wakati mnamuita Slaa mkatoliki hapendi waislamu?...Leo vip?..Mimi sipendi wala sitaki siasa zenye mwendelezo wa matukio lazimishi bila vision.
Kwa ujumla watanzania makini wanashindwa kuelewa muelekeo wa siasa za upinzani ndani ya nchi hii.
Sina uhakika kama wakuu wa ukawa wakiongozwa na CHADEMA kama wanaliona hili, lakini ni ukweli ulio wazi kwamba kuna ombwe kubwa la uongozi ndani na nje ya bunge letu tukufu.
Nje ya bunge ni kama hakipo ilhali ndani ya bunge ni ziro .
Nalazimika kuamini kwamba huenda Zuberi zitto kabwe na Dk wilbroad slaa ndio waliokuwa nguzo kuu ya uongozi wa chama hicho.kwani tangu viongozi hao kujiengua ndani ya CHADEMA, chama kimepwaya kama ndege yenye rubani bila kapteni.
CHADEMA imeongeza idadi kubwa ya wabunge lakini hakuna miongoni mwao anayeonekana kuwa na uwezo wa kujenga hoja kama ilivyokuwa enzi za Dk slaa na Zitto kabwe.
Upinzani bungeni una serkali kivuli bungeni,lakini imekuwa dormant. Ni kama haipo au kama ipo basi inafuata ushauri wa mtu au kundi fulani lenye malengo yake tofauti na lengo halisi la kambi rasmi ya upinzani bungeni.
Mawaziri wake wamekosa uwezo na weledi wa kukusanya taarifa mbalimbali muhimu zinazovutia, zinazoweza kuitwa taarifa mbadala za baraza la Mawaziri kivuli wa kambi ya upinzani bungeni.
Badala yake Mawaziri kivuli wamebaki kutumia taarifa za matukio yaliyopita bila kutoa. .way forward, mwelekeo wa wapi sasa kama taifa tunapaswa kuelekea kisera na kisekta. Pamoja na kulalamika kwamba CCM wamepora sera zenu. Lakini mbona hamziendelezi katika hotuba mbadala zenu ili wananchi tuwaelewe na kuamini mnayoyasema?
Kwamba Server ya sera hizo mnazo?
Badala yake sasa mmebaki na na kukariri historia ya escrow, uuzwaji nyumba za serikali, bungeni live, nk.
Hakuna jipya la kuishauri serkali, au hata jipya la kuwashauri watanzania badala yake mmekuwa watu wa HARAKATI bungeni.wakati mnaelewa kabisa mnawawakilisha wapiga kura majimboni kwenu.sikatai au watanzania hawakatai msikemee au kufichua maovu yoyote ndani ya nchi yetu, huo ndio hasa wajibu wenu, Lakini changamoto hapa ni kwamba muwe mnakuwa na njia mbadala pale mnapokosoa ni vema kuwa na ubunifu wa njia au sera mbadala badala ya kugeuka wapingaji badala ya wapinzani.
Muwakumbuke wapiga kura wenu kuhusu maisha bora kule waliko miundombinu ya barabara, madawati, madawa, na hata walimu bora na sio bora walimu kama hili sakata la udom sasa hivi mnapolifanya kuwa mtaji wenu kisiasa au uklfichwaji wa sukari.
Mjipange kabla ya kukurupuka, mfano waziri kivuli mambo ya ndani anapokwenda kusoma taarifa ya uuzwaji nyumba za serikali. Wakati mnaye msemaji rasmi kambi ya upinzani bungeni wa wizara ya ujenzi, uchukuzi na mawasiliano wapi na wapi?
Kwa hiyo mnapojiandaa kufanya kile mnachoamini nyinyi kama kuishitaki serikali kwa wananchi, pia mjiulize hao wananchi kweli kero yao kubwa ni ipi kati ya rushwa, ubadhirifu, elimu bora, madawa hospitali za umma,barabara, na miundombinu ya reli? ?
Au bunge live Wakati asilimia kubwa ya wananchi wenu au wapiga kura wenu wakiwa wanatumia vibatali bila umeme wa kuangalia hiyo television?
Ingawa ukweli huwa ni mchungu kuukubali mimi nimeanza kwa kuwakumbusha kwamba pamoja na bungeni live.lakini hiyo si kipaumbele cha walalahoi wa nchi hii, bali bungeni live huenda ikawa Ni mtaji zaidi kwenu kutegemea na matakwa ya wafadhili wenu ili waweze kuwaona mkitimiza kile walichowatuma live!
Ila pia muelewe karata hii ni kamari mnataka kuicheza. ...ikila kwenu hili mlitambue nikiwakumbusha mh kafulira alivyoweza kutuibulia masuala nyeti ya kutaifa Lakini akawa mzito jimboni kurudi kuwajulia kero wapiga kura hatimae kilichojiri Ni historia.
Najua kuna matusi yatakuja hapa ila nimetimiza wajibu wangu kama mtanzania commonmwananchi karibuni tuchangie
wewe mwanamke vipi?? kuja kwako kwa mwenge mjini kusituletee shida,, unafikiri nao umalaya nayo kazi hapa mjini,, akili kama ya jesca,,, kwani utaolewa lini wewe umri unaenda,, sura imekukomaa kama ngozi ya gotiAaaa kumbe wewe ni muuza tigo wa ufipa asante kwa taarifa..Kuhusu mama yako niko naye hapa tunakutafutia mdogo wako wewe umekuwa kiazi,Namjibu mpumbavu kutokana na upumbavu wake mwenyewe.
Umeandika ujinga mtupu.
Kama lumumba wengine ungependa CDM ife ili mpate usingizi. Hoja hamna zimebaki kelele zaidi. Mna mengi yanayozidi kuwashinda sijui mtataka tusahau mangapi. Poleni sana.Mimi sipendi wala sitaki siasa zenye mwendelezo wa matukio lazimishi bila vision.
Kwa ujumla watanzania makini wanashindwa kuelewa muelekeo wa siasa za upinzani ndani ya nchi hii.
Sina uhakika kama wakuu wa ukawa wakiongozwa na CHADEMA kama wanaliona hili, lakini ni ukweli ulio wazi kwamba kuna ombwe kubwa la uongozi ndani na nje ya bunge letu tukufu.
Nje ya bunge ni kama hakipo ilhali ndani ya bunge ni ziro .
Nalazimika kuamini kwamba huenda Zuberi zitto kabwe na Dk wilbroad slaa ndio waliokuwa nguzo kuu ya uongozi wa chama hicho.kwani tangu viongozi hao kujiengua ndani ya CHADEMA, chama kimepwaya kama ndege yenye rubani bila kapteni.
CHADEMA imeongeza idadi kubwa ya wabunge lakini hakuna miongoni mwao anayeonekana kuwa na uwezo wa kujenga hoja kama ilivyokuwa enzi za Dk slaa na Zitto kabwe.
Upinzani bungeni una serkali kivuli bungeni,lakini imekuwa dormant. Ni kama haipo au kama ipo basi inafuata ushauri wa mtu au kundi fulani lenye malengo yake tofauti na lengo halisi la kambi rasmi ya upinzani bungeni.
Mawaziri wake wamekosa uwezo na weledi wa kukusanya taarifa mbalimbali muhimu zinazovutia, zinazoweza kuitwa taarifa mbadala za baraza la Mawaziri kivuli wa kambi ya upinzani bungeni.
Badala yake Mawaziri kivuli wamebaki kutumia taarifa za matukio yaliyopita bila kutoa. .way forward, mwelekeo wa wapi sasa kama taifa tunapaswa kuelekea kisera na kisekta. Pamoja na kulalamika kwamba CCM wamepora sera zenu. Lakini mbona hamziendelezi katika hotuba mbadala zenu ili wananchi tuwaelewe na kuamini mnayoyasema?
Kwamba Server ya sera hizo mnazo?
Badala yake sasa mmebaki na na kukariri historia ya escrow, uuzwaji nyumba za serikali, bungeni live, nk.
Hakuna jipya la kuishauri serkali, au hata jipya la kuwashauri watanzania badala yake mmekuwa watu wa HARAKATI bungeni.wakati mnaelewa kabisa mnawawakilisha wapiga kura majimboni kwenu.sikatai au watanzania hawakatai msikemee au kufichua maovu yoyote ndani ya nchi yetu, huo ndio hasa wajibu wenu, Lakini changamoto hapa ni kwamba muwe mnakuwa na njia mbadala pale mnapokosoa ni vema kuwa na ubunifu wa njia au sera mbadala badala ya kugeuka wapingaji badala ya wapinzani.
Muwakumbuke wapiga kura wenu kuhusu maisha bora kule waliko miundombinu ya barabara, madawati, madawa, na hata walimu bora na sio bora walimu kama hili sakata la udom sasa hivi mnapolifanya kuwa mtaji wenu kisiasa au uklfichwaji wa sukari.
Mjipange kabla ya kukurupuka, mfano waziri kivuli mambo ya ndani anapokwenda kusoma taarifa ya uuzwaji nyumba za serikali. Wakati mnaye msemaji rasmi kambi ya upinzani bungeni wa wizara ya ujenzi, uchukuzi na mawasiliano wapi na wapi?
Kwa hiyo mnapojiandaa kufanya kile mnachoamini nyinyi kama kuishitaki serikali kwa wananchi, pia mjiulize hao wananchi kweli kero yao kubwa ni ipi kati ya rushwa, ubadhirifu, elimu bora, madawa hospitali za umma,barabara, na miundombinu ya reli? ?
Au bunge live Wakati asilimia kubwa ya wananchi wenu au wapiga kura wenu wakiwa wanatumia vibatali bila umeme wa kuangalia hiyo television?
Ingawa ukweli huwa ni mchungu kuukubali mimi nimeanza kwa kuwakumbusha kwamba pamoja na bungeni live.lakini hiyo si kipaumbele cha walalahoi wa nchi hii, bali bungeni live huenda ikawa Ni mtaji zaidi kwenu kutegemea na matakwa ya wafadhili wenu ili waweze kuwaona mkitimiza kile walichowatuma live!
Ila pia muelewe karata hii ni kamari mnataka kuicheza. ...ikila kwenu hili mlitambue nikiwakumbusha mh kafulira alivyoweza kutuibulia masuala nyeti ya kutaifa Lakini akawa mzito jimboni kurudi kuwajulia kero wapiga kura hatimae kilichojiri Ni historia.
Najua kuna matusi yatakuja hapa ila nimetimiza wajibu wangu kama mtanzania commonmwananchi karibuni tuchangie