Mlupembe
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 446
- 216
kitendo cha mgombea kupitia ukawa edward luwasa kuonekana hatakuja makongolosi chunya kimezua tafran mji mdogo wa makongolosi kupelekea wapenzi wa chama hicho kushusha bendera na kuanza kuinadi ccm ikumbukwe mji mdogo wa makongolosi ndio kitovu cha upinzani chunya na ndio kilitarajiwa kumbeba mgombea ubunge jimbo la lupa kupitia ukawa Njelu kasaka dhidi ya mwambalaswa..ukawa shtukeni mnazama huku..