Taarifa za vikao vinavyoendelea vya ukawa katika Mchakato wa kugawana majimbo ya uchaguzi mapya yaliyotangazwa na tume ya uchaguzi hivi karibuni kuna kila dalili ya kusababisha mpasuko mkubwa.
Mtoa habari hz ameeleza kusikitishwa na ubabe wa Mgombea urais wa Ukawa kuyataka baadhi ya majimbo wapewe wafuasi wake waliojiengua CCM kwa madai kwamba atawawezeshi kushinda kwa kuwapa
Fedha ya kampeni lakini ni wazi
Wazi CUF hawajaafikiana na wangependa
Wapewe baadhi ya majimbo.
Mtoa habari hz ameeleza kusikitishwa na ubabe wa Mgombea urais wa Ukawa kuyataka baadhi ya majimbo wapewe wafuasi wake waliojiengua CCM kwa madai kwamba atawawezeshi kushinda kwa kuwapa
Fedha ya kampeni lakini ni wazi
Wazi CUF hawajaafikiana na wangependa
Wapewe baadhi ya majimbo.