UKAWA kutoingia bungeni-siri yafichuka

Ghosryder

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
10,707
Reaction score
4,578
Kumbe kwa siku moja wasipoingia wanalipwa 450,000/= kudadadeki!
 
eleza chanzo cha hiyo pesa.........mkubwa huwezi weka mambo mazito bila kutanabaisha vizuri
 
Wakupima wewe sio mzima!! wanalipwa na mama yako..

Kumbe kichaa kinaambukiza! ona sasa na wewe ushakua chizi tayari umeambukizwa na bosi wako.
 
Toka mwanzo tulishasema kuwa UKAWA wamelipwa ili wavuruge mchakato wa Katiba! ila kwa kuwa mbinu zao ovu zimeshajulikana, hawatafanikiwa daima!
 
Mbona hamsemi kalipwa na nani na kuweka ushahidi? Kusema sio kutuaminisha. Acheni cheap politics za kitoto.
 
Eleza vizuri ueleweke wanalipwa na nani? Je huyo anaowalipa anafaidika nini na katiba ya sasa?
 
Kadri muda unavosogea,maccm yanakosa mbinu ya kuwashawishi ukawa(sauti ya watanzania)
ndio maana jana taisoni kazomewa sana pale itv
 
Nyie wapuuzi hapa si mahala pa kupost chochote .......acheni ujinga uliochangamana na upumba.vu unaochangiwa na njaa inayosababishwa na MaCCM .......
 
Kumbe kwa siku moja wasipoingia wanalipwa 450,000/= kudadadeki!

Kama bunge lilikuwa linawalpa laki3 kwa siku na wanaoga matusi ya interahamwe, sio mbaya kama kapatkana mfadhili wa kuwalpa zaidi so nachowashauri wapge mikutano nchi nzima kueneza sumu ya Ccm.
 
Toka mwanzo tulishasema kuwa UKAWA wamelipwa ili wavuruge mchakato wa Katiba! ila kwa kuwa mbinu zao ovu zimeshajulikana, hawatafanikiwa daima!

very weak point we need evidence (data) for this
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…