nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
haa haaaa haaaaMwana mpotevu gani huyo ambaye kila siku anapotea! LOOOOOH
haa haaaa haaaaMwana mpotevu gani huyo ambaye kila siku anapotea! LOOOOOH
wamepigika hadi wamebaki kuwa omba omba mtaani reference magazeti ya leoUkawa wagonjwa wamesugua mechi limewachosha,wameenda club mpaka wamechoka sasa wenyewe vichwachini.
katika hili ukawa wameshindwa kusimamia msimamo wao. inavyoonekana kuna ukweli posho ndo chanzo. yaleyale ya wagonga meza....kama walisusia posho za bunge la katiba wanashindwa nini kiposho cha bunge ilihali mishahara yao wanapata?Mbowe anapotosha wenzake kwa ubabe wake. Aibu gani hii. Tunarudije sasa? Kwa kasababu hako kadogo. Poor UKAWA.
Kwa hiyo wanataka kutuambia kuwa mambo wanayoyataka wao ndio yana maslahi kwa Taifa? Ni utoto uliopitiliza hawana tofauti na watoto ambao hupendi kulia ili wapewe wanachotakanUKAWA wanataka kutuambia kuwa yanayojadiliwa kwa sasa wakiwa nje ya bunge hayana maslahi ya kitaifa!
Kwa hiyo UKAWA wanataka tuamini kuwa mijadala kuhusu bajeti haina maslahi ya kitaifa!
UKAWA wanataka tuamini vipindi vya maswali na majibu bungeni havina maslahi ya taifa!
Kigezo/vigezo gani vinatumika katika kufahamu kama ni mjadala wa kitaifa au la?
Mimi nilidhani kila mjadala bungeni unahusu maslahi ya kitaifa kama ambavyo Katiba ya Tanzania 1977 imeainisha katika Ibara ya 63(1-3) kuhusu madaraka ya Bunge.
haa haas huo ni ukweli. kila kinachopelekwa bungeni kina maslahi ya taifa. ni kazi ya wabunge kuchambua...nMie naona huyo ni gia ya kurudi tu hakuna cha lugumi wala mjomba wake lugumi
ina maana wabunge wa ukawa hawapati mishahara? wanafanyia nn?wamepigika hadi wamebaki kuwa omba omba mtaani reference magazeti ya leo
Wewe nadhani tatizo lako hufahamu maana ya mjadala.Sio kila mjadala una maslahi kwa taifa. Kujadili ujenzi wa sanamu ya msanii diamond au ujenzi wa mnara sehemu JPM alipopigia push-up yote haina maslahi ya taifa
sio mambo yote ndani ya bunge yana maslahi mapana ya kitaifa,wapinzani wako sawasawaUKAWA wanataka kutuambia kuwa yanayojadiliwa kwa sasa wakiwa nje ya bunge hayana maslahi ya kitaifa!
Kwa hiyo UKAWA wanataka tuamini kuwa mijadala kuhusu bajeti haina maslahi ya kitaifa!
UKAWA wanataka tuamini vipindi vya maswali na majibu bungeni havina maslahi ya taifa!
Kigezo/vigezo gani vinatumika katika kufahamu kama ni mjadala wa kitaifa au la?
Mimi nilidhani kila mjadala bungeni unahusu maslahi ya kitaifa kama ambavyo Katiba ya Tanzania 1977 imeainisha katika Ibara ya 63(1-3) kuhusu madaraka ya Bunge.
Wamelewa madaraka tuUKAWA wanataka kutuambia kuwa yanayojadiliwa kwa sasa wakiwa nje ya bunge hayana maslahi ya kitaifa!
Kwa hiyo UKAWA wanataka tuamini kuwa mijadala kuhusu bajeti haina maslahi ya kitaifa!
UKAWA wanataka tuamini vipindi vya maswali na majibu bungeni havina maslahi ya taifa!
Kigezo/vigezo gani vinatumika katika kufahamu kama ni mjadala wa kitaifa au la?
Mimi nilidhani kila mjadala bungeni unahusu maslahi ya kitaifa kama ambavyo Katiba ya Tanzania 1977 imeainisha katika Ibara ya 63(1-3) kuhusu madaraka ya Bunge.
kuna watu wamewekwa na kambi zote humu wanalipwa pesa kwa ajili hiyo, hata usiumize kichwa zana!Si ukawa si ccm mi siwaelewi kiukweli,
Hivi mmeamua kugeuza vita za vyama
Mtu wa UKAWA hata afanye upuuzi gani wafuasi watasaport tuu na kuona kana kwamba yale ukawa wanayoyafanya ni jwa ajiri ya wafuasi wa ukawa na si kwa taifa zima.
Tukija kwa CCM hawana kipya kingine zaidi ya kupanda vita zidi ya upinzani, ikitokea mwana CCM akifanya upuuzi na ujinga hata yule aliye lala hukulupuka kama mwanafunzi aliyekulupushwa ba mwalimu bwenini.
Huo ni upuuzi mie mnanichanganya.
Vita iko bungeni mpaka kwa wanainchi sasa. Sasa hivi sielewi tutalifikisha wapi hili taifa
Humu jf nilizoea kupata maarifa na mijadala ya kunijenga lakini siku hizi mijadala mingi ni kati ya hivi vyama na sio kwa hoja ni matusi ya kushambuliana
Kuna suala la kitaifa NA suala lenye maslahi kwa taifa. Mfano, kuwepo kwa mwenge wa uhuru ni suala la kitaifa (kwa kuwa hauzungushwi jimbo moja tu la uchaguzi, au wilaya au mkoa mmoja), lakini huo huo uwepo wa mwenge hauna maslahi kwa taifa (ndio maana huwezi kusikia bungeni kiongozi wa serikali anawahimiza wabunge wahamasishe wapiga kura kwenda kuusindikiza mwenge, bali kimya kimya utashtukia kiongozi wa serikali ameenda kuwasha au kuzima mwenge)Wewe nadhani tatizo lako hufahamu maana ya mjadala.
Kwa hiyo waliojadili mpaka wakafikia makubaliano ya kuweka sanamu ya askali kwenye makutano ya Samora Avenue na Maktaba Street walikuwa hawajadili suala la kitaifa?