Ukawa kuandamana nchi nzima

Kilaza

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
3,324
Reaction score
1,378

CHANZO: Mwananchi





NB Ikumbukwe JINI likitoka kwenye CHUPA huwa halirudi ndani ya CHUPA serikali 3 ni lazima sio ombi tena.
 
Tunawatakia kila la heri kitu cha maana ni ujumbe maalum katika mikutano si kutukana au kumwaga kashfa.Ningependa mikutano hiyo ilenge kuwajenga na kuwafunza waTanzania uchafu unaofanywa na bunge la posho huko mjini Dodoma.
 
Ndicho wan akitaka CCM hiki sio ? Na yaani is dodoma kwa yule mkuu wa Mkoa wa hovyo asiyejua sheria .....
 

Protest is not allow
 
Kwa taarifa hii wazee wa feva bila shaka wameenza kusafisha mitutu yao ya mabomu ya mchozi
 

Tuko pamoja sana makamanda.lazima kieleweke
 
Kusema kweli pamja na kuwaunga mkono 100% kwa kutoenda Bungeni kwa hili sioni mantiki. Wakae kimya maana kimya kingi kina mshindo mkubwa. Wakati wa kuhamasisha umma kupinga rasimu ya Sitta bado.
 



aaaaggr? nawasubiri mtaani...... ngrrrrriiiii waje na viongoz?
 
Waandamane hata mpaka baharini kwenye kina kirefu kwani nani kawaambia kuwa mandamano yanaleta suruhu ya jambo kama siyo wanaongozwa na mibangi.
 
Safi sana nasubiri amri ya ukawa tu ili niandamane maana niliya miss maandamano Sio mchezo

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Safi sana nasubiri amri ya ukawa tu ili niandamane maana niliya miss maandamano Sio mchezo

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Safari hii kwenye haya mandamano zamu yako kufa kwenye mandamano.
 
Kusema kweli pamja na kuwaunga mkono 100% kwa kutoenda Bungeni kwa hili sioni mantiki. Wakae kimya maana kimya kingi kina mshindo mkubwa. Wakati wa kuhamasisha umma kupinga rasimu ya Sitta bado.
Hawana kazi ya kufanya acha wakatembee mtaani wauze sura wataonekanaje bila kujiuza.
 
Tunawatakia kila la heri kitu cha maana ni ujumbe maalum katika mikutano si kutukana au kumwaga kashfa.Ningependa mikutano hiyo ilenge kuwajenga na kuwafunza waTanzania uchafu unaofanywa na bunge la posho huko mjini Dodoma.

Kueleza ukweli si matusi wala kashfa, nadhani Tz tuna matatizo kwenye mfumo wa elimu kama kiswahili chetu wenyewe kinatushinda
 
Mi nilisema UKAWA yenye chadema vurugu ni lazima. maandamano na vurugu ndo misingi ya cdm imewaambukiza UKAWA
 
Tatizo kule mjengoni hawakai bure....ingekua wanakaa bure kujadili katiba yao, tungewaachia warekebishe hadi nukta afu tuje kuipinga
 
Kusema kweli pamja na kuwaunga mkono 100% kwa kutoenda Bungeni kwa hili sioni mantiki. Wakae kimya maana kimya kingi kina mshindo mkubwa. Wakati wa kuhamasisha umma kupinga rasimu ya Sitta bado.

yanapingwa matumizi mabaya ya fedha za umma kutokana na kujadili mambo ambayo hatujawatuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…