Ni hakika mabadiliko ya kweli yamefika Nzega asilimia 90% ya nafasi za serikali za mitaa zimeshikwa na UKAWA na hii inatupa picha halisi ya uchaguzi mkuu 2015!ni hakika kauli mbiu ya ukawa "DELETE CCM" imeanza kutimia!
Walau kwa 90% ina onesha kuwa ni mitaa mingi imechukuliwa na UKAWA. Hata kama majina ya mtaa hujayataja, asilimia uliyoitoa inaleta picha fulani ya ushindi wa UKAWA. Ahsante kwa taarifa...!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.