UKAWA imetisha Tabora-Nzega

UKAWA imetisha Tabora-Nzega

Walau kwa 90% ina onesha kuwa ni mitaa mingi imechukuliwa na UKAWA. Hata kama majina ya mtaa hujayataja, asilimia uliyoitoa inaleta picha fulani ya ushindi wa UKAWA. Ahsante kwa taarifa...!!!!!
 
Tabora ina wapiga kura kuliko Arusha.
Tabora inaikaribia Dar Kwa idadi ya wapiga kura.
 
Unapigwa na Tochi,unanyanga'anywa pochi halafu unapigwa madochi!
 
Back
Top Bottom