Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,480
- 11,684
Chadema ni chama ambacho tayari kimepoteza mvuto na watanzania wamepata mashaka na wasiwasi juu ya uwezo wa chama hiki kuchukua dola. Chama kina akina mbowe, slaa&Co. ambao hawana mvuto tena kisiasa tanzania.
Kama UKAWA walitaka kufanikiwa wangeunda umoja wao bila kushirikisha cdm. Mi nadhan ingekuwa cuf, nccr na tlp maybe lakin uwepo wa cdm una-ucost huu umoja.
Nashauri UKAWA waiondoe cdm ndo watu watakuwa na imani kwa umoja huu
Kama UKAWA walitaka kufanikiwa wangeunda umoja wao bila kushirikisha cdm. Mi nadhan ingekuwa cuf, nccr na tlp maybe lakin uwepo wa cdm una-ucost huu umoja.
Nashauri UKAWA waiondoe cdm ndo watu watakuwa na imani kwa umoja huu