UKAWA haikutakiwa kuijumuisha CHADEMA

UKAWA haikutakiwa kuijumuisha CHADEMA

Obugwa Izoba

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2013
Posts
10,480
Reaction score
11,684
Chadema ni chama ambacho tayari kimepoteza mvuto na watanzania wamepata mashaka na wasiwasi juu ya uwezo wa chama hiki kuchukua dola. Chama kina akina mbowe, slaa&Co. ambao hawana mvuto tena kisiasa tanzania.

Kama UKAWA walitaka kufanikiwa wangeunda umoja wao bila kushirikisha cdm. Mi nadhan ingekuwa cuf, nccr na tlp maybe lakin uwepo wa cdm una-ucost huu umoja.
Nashauri UKAWA waiondoe cdm ndo watu watakuwa na imani kwa umoja huu
 
chadema imesababisha ukawa watanzania wameisusa
 
Ni kweli kabisa, kwa kuishirikisha Chadema yalikuwa makosa makubwa, huku mtaani huu umoja unaitwa genge la fujo,wapenda posho na wahuni.

Ukitaja Ukawa huku kwetu ni sawa na kusema Uhuni.
 
Ukawa kwani imesajiliwa na kufanyiwa matangazo lini? Akili za kata hizi

chadema walikuwa hawataki ushirikiano na vyama vingine.. baada ya kupoteza mvuto wameanza kujipendekeza kwa cuf na nccr mageuzi...ACT NDIO HABARI YA MUJINI
 
Cdm wakikwama hutafuta muungano, wakifanikiwa hujitenga na kujiona wao ndio bab kubwa.
 
chadema walikuwa hawataki ushirikiano na vyama vingine.. baada ya kupoteza mvuto wameanza kujipendekeza kwa cuf na nccr mageuzi...ACT NDIO HABARI YA MUJINI

ACT, alliance of cowards and traitors, ahahahahahaaaaaaaaaaaaaaa, toa takataka hiyo.
 
Chadema ni chama ambacho tayari kimepoteza mvuto na watanzania wamepata mashaka na wasiwasi juu ya uwezo wa chama hiki kuchukua dola. Chama kina akina mbowe, slaa&Co. ambao hawana mvuto tena kisiasa tanzania.

Kama UKAWA walitaka kufanikiwa wangeunda umoja wao bila kushirikisha cdm. Mi nadhan ingekuwa cuf, nccr na tlp maybe lakin uwepo wa cdm una-ucost huu umoja.
Nashauri UKAWA waiondoe cdm ndo watu watakuwa na imani kwa umoja huu

kwani Tanzania bad kuna uhaba wa madaktari wa vichwa?unatakiwa ukachunguzwe akili kwani hakuna mtu unaweza kumdanganya kijinga namna hii,labda wanaccm wenzako.
 
ACT chama cha unasaba wa kiislam nani anataka kusikia. Tunataka chama chenye kuwakilisha Taifa kama CHADEMA..
 
Duuuh hzi buku 7 zmeiba akil za watu ka mleta mada anawaza kwa kutumia wallet ya harufu ya kufisadi tuuuu

Ungetuonyesha n kwa vp ukawa umepoteza ushawish kwa kuwepo chadema....!!!!

Ukafafanua malengo ya ukawa kutofikiwa kwa sababu ya chdm...ukaonyesha ushawish wa washrk baki pasipo kuwepo chdm kweny umoja huo.....ulicholeta n upupuuuuu tuuuu
 
Back
Top Bottom