mpambanaji kamili
Member
- Feb 21, 2015
- 74
- 34
Mimi kama mwanamabadiliko ambae napenda CCM itoke hata kesho, napendekeza mumbadilishe haraka sana repoter wa matukio ya UKAWA wa ITV maana taarifa zake haziniridhishi.
Napendekeza mmuweke Sam Mahela ili aweze kutoa taarifa zinazomtendea haki raisi wetu.
Napendekeza mmuweke Sam Mahela ili aweze kutoa taarifa zinazomtendea haki raisi wetu.