UKAWA chungeni vinywa vyenu

UKAWA chungeni vinywa vyenu

somijo

Senior Member
Joined
Apr 14, 2012
Posts
110
Reaction score
47
Makada na viongozi wanatakiwa kuchunga sana ndimi zao wakati huu ambao Watanzania wengi wamekuwa na tumaini nao. Hata kama wameisha gawana majimbo na vyeo vya serikali yao lakini si muda muafaka wa kujipambanua.

Mfano mzuri ni ndugu Godbless Lema kwa kile alichokisema bungeni kuwa yeye ndo next waziri wa ulinzi. Wenye uelewa watakuwa wamemuelewa kuwa alikuwa anafanya siasa, lakini yale maneno yanaweza kutumika kumchafua yeye chama chake na ukawa kwa ujumla.

So pls chungeni ndimi zenu wanaukawa.

Huo ni mtazamo na maoni yangu.
 
Tatizo shule,kuanzia mwenyekiti mpaka anawaoongoza.
 
Lema siku akiwa waziri wa ulinzi silaha zote atazigawa kwa Red Brigade.
 
Kuna hali ya wajinga kutamani kuwaongoza werevu,kitu ambacho Lema anashindwa kukielewa ni kuwa majeshi yetu yana wasomi na werevu wa hali ya juu na asikae hata siku moja akafikiri kuwa hizi political post ni kila kitu.
 
Kuna hali ya wajinga kutamani kuwaongoza werevu,kitu ambacho Lema anashindwa kukielewa ni kuwa majeshi yetu yana wasomi na werevu wa hali ya juu na asikae hata siku moja akafikiri kuwa hizi political post ni kila kitu.
Kwa jinsi watanzania wanavyolia na kusaga meno, kwakweli tumeongozwa na wajinga. Mbaya zaidi wajinga hao hao wapo kwenye vikao dodoma wakitaka kuja kutuongoza tena. Tumesema HAPANA. Sasa ni zamu ya werevu kutuongoza
 
Lema ukikaa na wahuni wenzako wa Arusha unajidanganya sana umefikia mahala unawaza kuliongoza Jeshi letu la Tanzania wakati uwezo hauna.

Jeshi letu limejaa watu makini wenye weledi na wasomi jeshi siyo tawi la Bavicha.

Hivi Lema leo hii unatamani kuwa waziri kwa elimu gani uliyo nayo.
 
Kwa jinsi watanzania wanavyolia na kusaga meno, kwakweli tumeongozwa na wajinga. Mbaya zaidi wajinga hao hao wapo kwenye vikao dodoma wakitaka kuja kutuongoza tena. Tumesema HAPANA. Sasa ni zamu ya werevu kutuongoza
Werevu kina nani Lema na Mbowe?
 
Makada na viongozi wanatakiwa kuchunga sana ndimi zao wakati huu ambao Watanzania wengi wamekuwa na tumaini nao. Hata kama wameisha gawana majimbo na vyeo vya serikali yao lakini si muda muafaka wa kujipambanua.

Mfano mzuri ni ndugu Godbless Lema kwa kile alichokisema bungeni kuwa yeye ndo next waziri wa ulinzi. Wenye uelewa watakuwa wamemuelewa kuwa alikuwa anafanya siasa, lakini yale maneno yanaweza kutumika kumchafua yeye chama chake na ukawa kwa ujumla.

So pls chungeni ndimi zenu wanaukawa.

Huo ni mtazamo na maoni yangu.

Acha nidhamu za woga.
 
Makada na viongozi wanatakiwa kuchunga sana ndimi zao wakati huu ambao Watanzania wengi wamekuwa na tumaini nao. Hata kama wameisha gawana majimbo na vyeo vya serikali yao lakini si muda muafaka wa kujipambanua.

Mfano mzuri ni ndugu Godbless Lema kwa kile alichokisema bungeni kuwa yeye ndo next waziri wa ulinzi. Wenye uelewa watakuwa wamemuelewa kuwa alikuwa anafanya siasa, lakini yale maneno yanaweza kutumika kumchafua yeye chama chake na ukawa kwa ujumla.

So pls chungeni ndimi zenu wanaukawa.

Huo ni mtazamo na maoni yangu.

Hilo nimeshaaa liona jamaaa wao wanajiona ndio ukawa bila kujua , vyama vingine vipo au havipo,mfano NASSARI alisema atamuomba SLAA ampe uwaziri wa mambo ya ndani japo kwa wiki 2 . Hii inaonyesha slaa ndiye atagombea huo uraisi , LISSU pia alisema akiwa mosh SLAA ndiye raisi
 
Lema ukikaa na wahuni wenzako wa Arusha unajidanganya sana umefikia mahala unawaza kuliongoza Jeshi letu la Tanzania wakati uwezo hauna.

Jeshi letu limejaa watu makini wenye weledi na wasomi jeshi siyo tawi la Bavicha.

Hivi Lema leo hii unatamani kuwa waziri kwa elimu gani uliyo nayo.

Tuambie hao wenye elimu wamefanya nini kwenye taifa hili, mbona bado ni maskini mpaka wanafunzi kufikia kukaa chini?
 
Kwa jinsi watanzania wanavyolia na kusaga meno, kwakweli tumeongozwa na wajinga. Mbaya zaidi wajinga hao hao wapo kwenye vikao dodoma wakitaka kuja kutuongoza tena. Tumesema HAPANA. Sasa ni zamu ya werevu kutuongoza

Ninauhakika fika unatamani mabadiliko (hata mimi pia) lakini unatambua viongozi mahiri na imara bado wapo CCM.

Rais wako 2015 ni Lowassa

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
 
Hilo nimeshaaa liona jamaaa wao wanajiona ndio ukawa bila kujua , vyama vingine vipo au havipo,mfano NASSARI alisema atamuomba SLAA ampe uwaziri wa mambo ya ndani japo kwa wiki 2 . Hii inaonyesha slaa ndiye atagombea huo uraisi , LISSU pia alisema akiwa mosh SLAA ndiye raisi


Huo ndio ukweli kwani cdm ndani ya ukawa ndio superpower. Kwani marekani anapoamua kila kitu cha dunia hii yeye mwenyewe ndio mwenye kura ya veto? Au anapokuwa na sauti ya juu kwenye UN, ni kwamba hakuna nchi nyingine? Acha utoto wewe. Angalia cdm wametembea sehemu ngapi nchi hii ukilinganisha na NLD, au huko ZNZ umesikia cdm wameachiwa majimbo 10? Kila mbuzi anakula usawa wa kamba yake. Wewe pigania ACT mambo ya Ukawa hayakuhusu.
 
Ninauhakika fika unatamani mabadiliko (hata mimi pia) lakini unatambua viongozi mahiri na imara bado wapo CCM.

Rais wako 2015 ni Lowassa

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.

Hizo ni hadithi za Paukwa pakawa. Nani anatarajia kada wa ccm aseme ukawa watachukua nchi?
 
Back
Top Bottom