Ocampo four
JF Senior Expert Member
- Feb 28, 2014
- 5,789
- 2,159
Baada ya lile tamko la mwendasha mashtaka mkuu wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu (ICC) Fatou Bensouda, jana kwa mara nyingine muungano wa Ukawa wamesema washaanza mawasiliano na mahakama hiyo baada ya kugundua CCM hakitakuwa tayari kuachia madaraka hapo oktoba 25...
Ukawa wamesema kuna viashiria vingi hasa kauli za viongozi waandamizi wa CCM wakiwemo Kinana, ambaye ni katibu mkuu wa chama hicho, Nape na Bulembo
Viongozi hao wa Ukawa wamesisitiza azma ya kuwashirikisha jumuiya za kimataifa hasa ICC ili kuhakikisha hakuna fujo wala machafuko yatakayotokea baada ya CCM kushindwa...
Ikumbukwe ni wiki kadhaa ICC ilitoa onyo kali sana kuhusu uchaguzi unaoendelea kwa sasa hapa nchini... Vile vile na baadhi ya wabunge wa Uingereza nao walitoa onyo kali sana...
Mytake: CCM ni vizuri mkajua kuwa hii ni nchi ya watanzania wote. Hamna budi kukubali matokeo ya oktoba pale mtakaposhindwa na sio kutuletea machafuko...
#Mama Tanzania kwanza, vyama baadaye!...
Ukawa wamesema kuna viashiria vingi hasa kauli za viongozi waandamizi wa CCM wakiwemo Kinana, ambaye ni katibu mkuu wa chama hicho, Nape na Bulembo
Viongozi hao wa Ukawa wamesisitiza azma ya kuwashirikisha jumuiya za kimataifa hasa ICC ili kuhakikisha hakuna fujo wala machafuko yatakayotokea baada ya CCM kushindwa...
Ikumbukwe ni wiki kadhaa ICC ilitoa onyo kali sana kuhusu uchaguzi unaoendelea kwa sasa hapa nchini... Vile vile na baadhi ya wabunge wa Uingereza nao walitoa onyo kali sana...
Mytake: CCM ni vizuri mkajua kuwa hii ni nchi ya watanzania wote. Hamna budi kukubali matokeo ya oktoba pale mtakaposhindwa na sio kutuletea machafuko...
#Mama Tanzania kwanza, vyama baadaye!...