UKAWA Arusha imeachwa with confusion and disorganisation

UKAWA Arusha imeachwa with confusion and disorganisation

Mbona unaweweseka,haraka ya nini siku si ndo leo.......
 
UKAWA jijini Arusha wameachwa na UKIWA huku wakiwa hawaelewi cha kufanya baada ya suprise ya jana kutoka Kwa mtu wa kazi mpiga kazi kikazikazi jembe linalolima hata mpini ukivunjika ....Dr Johny Johny Johny ooo!!

Mpaka ninavyoshusha thread hii watu wanatumiwa sms kicybercrime yaani hata kama wewe sio mpiga kura wanakutumia tu.

Mpaka usiku huu migari mibovu yenye spika zinazokoroma zinapita kutangaza mkutano wa lowassa kesho.

Mbaya zaidi message inasema mkutano uko huku wakati magari hayo yanatangaza mkutano uko kule...

Yani mpaka nawaonea huruma watani zangu kina Mmaiwa

attachment.php



TUSHAANZA KUBEBWA NA 10,000

5000 KUENDEA
5000 WAKATI WA KURUDI.

JAMAA KWENYE GARI LETU ; MTATA . BUKU 5000 YA KUMALIZIA ATATUPA SANAWALI SAA 2 USIKU . UKISHUKA
 
UKAWA jijini Arusha wameachwa na UKIWA huku wakiwa hawaelewi cha kufanya baada ya suprise ya jana kutoka Kwa mtu wa kazi mpiga kazi kikazikazi jembe linalolima hata mpini ukivunjika ....Dr Johny Johny Johny ooo!!

Mpaka ninavyoshusha thread hii watu wanatumiwa sms kicybercrime yaani hata kama wewe sio mpiga kura wanakutumia tu.

Mpaka usiku huu migari mibovu yenye spika zinazokoroma zinapita kutangaza mkutano wa lowassa kesho.

Mbaya zaidi message inasema mkutano uko huku wakati magari hayo yanatangaza mkutano uko kule...

Yani mpaka nawaonea huruma watani zangu kina Mmaiwa

attachment.php


TUMEFIKA SALAMA MUNGU NI MWEMA
 
WENGINE WANASHUSHWA ; TOKA TARATI NA MBUGUNI
CHADEMA%20LORIIIIII.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom