Calamity
JF-Expert Member
- May 28, 2013
- 856
- 47
Jamani wakubwa nimeshuhudia mambo haya yakifanyika
jana usiku wa tarehe 14-08-214 saa 2.00 baba mmoja tena mtumishi wa umma ambaye ni dereva wa gari la SU mali ya wizara ya kilimo na mifugo hapa jijini mwanza anayeishi nyakato eneo la Mahango karibu na (fance ya gachuma)
Baada ya kurudi kutoka kazini usiku akakuta familia yake iko salama ,ndpo akamwita mtoto wake wa kiume aitwaye Amos umri(12-13) akamuuliza vipi wewe ulienda shule ,ndiyo baba...mtoto alijibu tena baba akasema nimekununulia soksi za shule ,lakini leteni kwanza zile ,mtoto akamjibu si nilikwambia zilipotea? baba bila kujali ndipo akaanza kumshushia kipigo cha mbwa mwizi karibia nusu saa bila kujali anapiga sehemu gani za mwii kwa kutumia mbanio wa sufulia majirani walikuwa wanachungulia kupitia dirishani.
Hadi kuamkia asubuhi mtoto hakuweza kwenda shule maaana anatapika damu mwili umejaa majeraha.
Nayule mama aliyeko sio mama yake wa kumzaa niwakambo
Jamani kumbe sisi wazazi ndio tunao ongoza kwa kufanyia watoto weu ukatili nilitamai kama nigekuwa na namba za police nigewapigia wakaja shuhudia yule mtoto.
jana usiku wa tarehe 14-08-214 saa 2.00 baba mmoja tena mtumishi wa umma ambaye ni dereva wa gari la SU mali ya wizara ya kilimo na mifugo hapa jijini mwanza anayeishi nyakato eneo la Mahango karibu na (fance ya gachuma)
Baada ya kurudi kutoka kazini usiku akakuta familia yake iko salama ,ndpo akamwita mtoto wake wa kiume aitwaye Amos umri(12-13) akamuuliza vipi wewe ulienda shule ,ndiyo baba...mtoto alijibu tena baba akasema nimekununulia soksi za shule ,lakini leteni kwanza zile ,mtoto akamjibu si nilikwambia zilipotea? baba bila kujali ndipo akaanza kumshushia kipigo cha mbwa mwizi karibia nusu saa bila kujali anapiga sehemu gani za mwii kwa kutumia mbanio wa sufulia majirani walikuwa wanachungulia kupitia dirishani.
Hadi kuamkia asubuhi mtoto hakuweza kwenda shule maaana anatapika damu mwili umejaa majeraha.
Nayule mama aliyeko sio mama yake wa kumzaa niwakambo
Jamani kumbe sisi wazazi ndio tunao ongoza kwa kufanyia watoto weu ukatili nilitamai kama nigekuwa na namba za police nigewapigia wakaja shuhudia yule mtoto.