Ukata wa pesa katika maisha

Kufanya analysing ya wapi uliteleza na kujifunza katikati ya tatizo tuache utani haiwezekani kabisa.. kikubwa ni kutafuta solution ya haraka walau kustabilize tatzo kwa sababu unakuwa katikati ya stress then baada ya kustabilize tatizo either kwa kukopa au kutafuta msaada wa haraka then baada ya tatizo kutoka hapo unatakiwa kutafuta tatizo lilitokea wapi nakujifunza ili lisijirudie na likirudi liwe lingine ndo mfumo wa maisha sio kwamba ukishasolve hilo tatizo ndo guarentee kuwa hutaishiwa au kuteleza kwingine..
 
Hii hali huwa inamaliza kabisa nguvu za kiume. Cha maana kama una mtu wa karibu anaeweza kukukopesha jaribu kumfata. Au kama ofisini kunasomeka jaribu pia. Ila ujifunze next time jitahidi uongeze vyanzo vya mapato.
Halafu kweli kabisa..
Hii hali ni hatari sana..
Mwanaume anaweza ona mwanamke kama msela wake kabisa
 
Kama ni wewe kwanza ni kupe pole ndungu!!

Ni kweli hiyo hali ujitokea mara kwa mara kama unatabia ya kupuuzia mambo na kuto kujitafkari wapi unakosea!

Sio hali nzuri na sio hali ya kuzoea, lakini katika maisha kuelekea mafanikio lazima itokeee ili upate nafasi ya kujifunza na kugundua unapokosea!!

Hali kama hiyo si kweli usaidiwa na kukopa kama wengi wanavyosema humu ndani, maaana mkopo unaweza ukaongeza 100 times stress kwenye zile ulizo kua nazo mwanzo!!!

Hali hii always inakuja na maamuzi magumu na ikiambatana na kubadilika kabisa kuhusu tabia zako, maamuzi yako na hata marafk wanao kuzunguka katika maisha yako!!!

Kama una assets unazo weza kuuza zinazo weza kutatua changamoto ulizo nazo that is the way to go!

Yupo mtu aliuza kila kitu ndni akabaki na godoro tu, and he paid all the debits he owned people! Icho kitendo kili mrudisha nyuma 100 times lakini alijifunza kitu kikubwa sna kwamba anatakiwa kubadilisha life style yake!


Leo the guy ni multmilonaire ambaye anaishi a good life ambayo he is free with princples!!

Ukimuuliza atakwambia:-
* katika maisha u need plans, goals and principles ( wengi hatuna)

*katika maisha always spend according to your income! Kuwa na budget ( wengi hatuna)

*katika maisha jifunze kujifunza kutokana makosa hata kama nidogo (wengi tunachukulia kawida)

*usiiishi maisha ya show of and competition za kuspend rether invest (wengi tuna sim kali za milon lakin huna hata uwanja)

*stay away from people wanao furahia uwepo wako, maaana kunaitu wana kuunyonya bila we kujua, kaa na watu unaofurahia uwepo wao maaana kuna kitu unapata!


USHAURI
Kukopa weka ni last option, find asests zote unazo ona zinaeza kukutoa hapo ulipo, kama huna hata aset za kuuza kusolve tatizo kopa but ji evaluate aina ya maisha unaishi si mazuri!! Na iyo hali itakutokea kila màra usipo chañge!!

Jifunze kuanza upya ukiwa mtu tofauti na yule wa mwnzo! Usione aibu koze hayo ni maish yako wewe!
Nimejifunza kitu hapa,,,, hiki kitu kinaniumiza sana,,, nilikopa benk nikafungua baadhi ya miradi ikafa kwa kukosa usimamizi na kuwaamini ndugu na jamaa,,, mshahara umekuwa mdogo..madeni yamekuwa mengi mpaka nachanganyikiwa hivi ninavyoandika hapa ndan nna shilingi alf 2 na kesho natakiwa kwnda kazini!!! Nachanganyikiwa sana
 
Inajulikana kwamba pesa inawasha Ukiipata... Jaribu kupitia matumizi yako upya... Achana na vile visivyo vya lazima uli uwe na mwanya mpana wa kujiwekea akiba....




Cc: mahondaw
 
Pole sana mkuu,Hivyo vitu vinatokea sana hasa kwa sie wasaka nyoka aka wala vumbi.
-Jenga Jina kuwa friend na kila mtu,acha kujikweza uwe na mia au milioni kusiwe na tofauti...Kuna watu wanaishi mjini kwa kutegemea jina tu(friend),ukikwama tafuta watu wako wa karibu kwa msaada zaidi.

-Rudisha mpira kwa kipa,Ukiona mambo yapo tight rudi home ujipange upya,maisha hayana formula watakuelewa tu.
 
Nimejifunza kitu hapa,,,, hiki kitu kinaniumiza sana,,, nilikopa benk nikafungua baadhi ya miradi ikafa kwa kukosa usimamizi na kuwaamini ndugu na jamaa,,, mshahara umekuwa mdogo..madeni yamekuwa mengi mpaka nachanganyikiwa hivi ninavyoandika hapa ndan nna shilingi alf 2 na kesho natakiwa kwnda kazini!!! Nachanganyikiwa sana
Duh kaka kama ni kweli nitumie namba yako nikutumie 5000.ipo siku utanikumbuka inagawa namimi sina kutu kaka
 
Nadhani muhimu ni kutengeneza network na watu ambao wana ramani zinazoeleweka..kupunguza maisha ya kuigiza..ishi kutokana na kipato..unajua stress zinakuja kwa kujilinganisha..live your life..kama uwezo wako ni wa vitumbua vitatu usitamani supu..thamini kila shilingi unayoipata..
True
 
Back
Top Bottom