Ukarimu wangu umeniponza

Wewe acronomy ni mtu wa ajabu sana jamaa kachukua maamuzi kuhusu familia yake wewe unakuja kulialia hapa.

Nakuunga mkono pia,kwani kafanya kosa kuamua kuwa responsible na familia yake au mdau ulitaka wew ndo uwe unawapeleka.
 
ha ha haa Preta acha basi lile subaru lako kesho nyumbani sema limeharibika nikupitie nikupe lifti aki vile.

He he he.........kesho napumzika.......leo nilichoka sana nilikuwa namdhamini rais.......halafu Subaru zaidi naitumia summer........
 
Ningekutatiria mbali shit unambeba mke wangu ww km nani... tena uache kimbelembele hicho tulia na familia yako.. ole wako urudie nitakuua
 

Jamaa mwenye mke yupo sahihi kabisa hata kama ni mimi ningefanya hivyo.
 
He he he.........kesho napumzika.......leo nilichoka sana nilikuwa namdhamini rais.......halafu Subaru zaidi naitumia summer........

haya bwana si inaandaa system ya kuwa karibu na mjengoni??? Basi ukiwa sawa nistue nama jana nlikuona na subaru yako impreza unasumbua kweli duuh wewe ni noumar zaid ya euro mamy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…