Hukutakiwa kuja huku mkuu besides ulitakiwa mkutane na jamaa falagha umueleze uhalisia kwamba you consider him like a real bloodbrother to the extent that wont dare ruining his marriage by any means. Hapo kidogo ingempunguzia doubt juu yako.
Sasa bora umtafune huyo mkewe Ili tuhuma ziwe za kweli.........inauma sana kusingiziwa.............bora shari kamili kuliko shari nusu nusu kama hivyo...........
Sasa bora umtafune huyo mkewe Ili tuhuma ziwe za kweli.........inauma sana kusingiziwa.............bora shari kamili kuliko shari nusu nusu kama hivyo...........
Sasa bora umtafune huyo mkewe Ili tuhuma ziwe za kweli.........inauma sana kusingiziwa.............bora shari kamili kuliko shari nusu nusu kama hivyo...........
preta naona humtakii kijana mema maana mmh hii ni kama first warning kesho yake linaweza likaja la kuotolewa meno au wakadili na ule mtandao ... la kumshaur kama imemuuma amalizie hasira zake kwa yule mdogo wake maana mpaka namba kashapta so anaweza kujiongeza