Ukame wa wana CCM kuhamia CHADEMA, je Lowassa amefilisika au ameuziwa mbuzi kwenye gunia?

Wakati Lowasa anahamia CHADEMA, alienda kwa tambo nyingi huku akiwaahidi viongozi wa CHADEMA kuwa kuna mafuriko ya wana CCM kuhama chama chao na kujiunga na CHADEMA.

Hata hivyo, mpaka sasa, ni takriban wiki tatu sasa tangu mwanasiasa huyo ahamie CHADEMA na hakuna dalili za yale mafuriko aliyoahidi wakati anajiunga na CHADEMA. Mpaka sasa ni wenyeviti wawili tu wa mikoa wa CCM waliojiunga na Lowasa ilhali aliahidi kuwa zaidi ya nusu ya wenyeviti wa mikoa na wilaya watatangaza kujiunga na CHADEMA. Pia alitangaza kuwa kuna wakuu wa mikoa na wilaya watajiunga na CHADEMA ambapo mpaka sasa, hakuna mkuu wa Mkoa wala wilaya aliyejiunga na CHADEMA.

Pia, hakuna mbunge aliyepitishwa na CCM ambaye ametangaza kujiunga na CHADEMA. Waliojiunga na chama hicho ni wale waliokatwa kwenye kura za maoni kutokana na kushindwa kutimiza matarajio ya wananchi kwenye majimbo yao.

Kwa upande wa wanachama wa kawaida, hapa ndipo hofu ya Lowasa ilipo. Mpaka sasa hakuna lile wimbi la wanachama wa CCM kwenda CHADEMA, baadhi waliokuwa na hasira kutokana na watu wao kukatwa hali imetulia baada ya kuujua ukweli.

Swali la kujiuliza, je Lowasa ameshindwa kufikia dau la kuweza kuwanunua wana CCM zaidi au ameuziwa mbuzi kwenye gunia?

Tumesikia tu wananchi wa Monduli na wamasai ndio wanahamia chadema
 
kwani yameisha subiri tarehe 22 augst kampeni zinavyoanza utaona mwenyewe. najua mmeshachanganyikiwa mpaka kikwete anadai vyombo vya habari vimetumia picha za kuunganisha,haamini anachokiona.
 
Wakati Lowasa anahamia CHADEMA, alienda kwa tambo nyingi huku akiwaahidi viongozi wa CHADEMA kuwa kuna mafuriko ya wana CCM kuhama chama chao na kujiunga na CHADEMA.

Hata hivyo, mpaka sasa, ni takriban wiki tatu sasa tangu mwanasiasa huyo ahamie CHADEMA na hakuna dalili za yale mafuriko aliyoahidi wakati anajiunga na CHADEMA. Mpaka sasa ni wenyeviti wawili tu wa mikoa wa CCM waliojiunga na Lowasa ilhali aliahidi kuwa zaidi ya nusu ya wenyeviti wa mikoa na wilaya watatangaza kujiunga na CHADEMA. Pia alitangaza kuwa kuna wakuu wa mikoa na wilaya watajiunga na CHADEMA ambapo mpaka sasa, hakuna mkuu wa Mkoa wala wilaya aliyejiunga na CHADEMA.

Pia, hakuna mbunge aliyepitishwa na CCM ambaye ametangaza kujiunga na CHADEMA. Waliojiunga na chama hicho ni wale waliokatwa kwenye kura za maoni kutokana na kushindwa kutimiza matarajio ya wananchi kwenye majimbo yao.

Kwa upande wa wanachama wa kawaida, hapa ndipo hofu ya Lowasa ilipo. Mpaka sasa hakuna lile wimbi la wanachama wa CCM kwenda CHADEMA, baadhi waliokuwa na hasira kutokana na watu wao kukatwa hali imetulia baada ya kuujua ukweli.

Swali la kujiuliza, je Lowasa ameshindwa kufikia dau la kuweza kuwanunua wana CCM zaidi au ameuziwa mbuzi kwenye gunia?

Hot lady, kweli ur very hot...Si nasikia leo ENL kadondoka hm?
 
kwani yameisha subiri tarehe 22 augst kampeni zinavyoanza utaona mwenyewe. najua mmeshachanganyikiwa mpaka kikwete anadai vyombo vya habari vimetumia picha za kuunganisha,haamini anachokiona.
 
Lazima mtambue hii ni vita ya ndani na nje..... Waliobaki ndani ni threat kuliko waliotoka.... Think Big

Waliokuja kwenu ndio virus + ,maana wameshaanza kazi,ujasikia Sikonge kwa Said Mkumba,MTAMA kwa SELEMANI METHEW kaanza kuwavuruga UKAWA, Mgombea wa CUF na CHADEMA wamechukua form,
 
Kura za wanachama wa CCM zinatosha

CCM wanajidanganya, kuna hili daftar lao la orodha, nashangaa nikaitwa mbona jina lako lipo? wewe ni CCM nenda kapige kura za maoni, ilihari sina kadi nikaenda nikakuta watu waliohama miaka hdi 9 iliyopita wamo kwenye orodha iliyobandikwa. mwisho walio andikwa ni 645 waliopiga kura ni 156, wengi wote walisha hama. ukiwauliza wanadai chama kina hazina kubwa ya ushindi, nina hakika CCM msipokuwa makini mkacheza na data za wenyeviti wenu wa mitaa ambao wengi wao ni wale wanaoanza wikiendi ya kupiga pombe juma3, mtakwisha.
 
Hawezi kulinunuà taifa ima na chama chote kwasababa sisi ni wengi na wao ni wachache ..by Makongoro
 
Kwa mtu yeyote aliyesoma ana kujitambua, nina imani ana ufahamu mkubwa na hahitaji kuongezewa maneno mengi ili kujua CCM hawastahili kupewa nafasi.
 
Wakati Lowasa anahamia CHADEMA, alienda kwa tambo nyingi huku akiwaahidi viongozi wa CHADEMA kuwa kuna mafuriko ya wana CCM kuhama chama chao na kujiunga na CHADEMA.

Hata hivyo, mpaka sasa, ni takriban wiki tatu sasa tangu mwanasiasa huyo ahamie CHADEMA na hakuna dalili za yale mafuriko aliyoahidi wakati anajiunga na CHADEMA. Mpaka sasa ni wenyeviti wawili tu wa mikoa wa CCM waliojiunga na Lowasa ilhali aliahidi kuwa zaidi ya nusu ya wenyeviti wa mikoa na wilaya watatangaza kujiunga na CHADEMA. Pia alitangaza kuwa kuna wakuu wa mikoa na wilaya watajiunga na CHADEMA ambapo mpaka sasa, hakuna mkuu wa Mkoa wala wilaya aliyejiunga na CHADEMA.

Pia, hakuna mbunge aliyepitishwa na CCM ambaye ametangaza kujiunga na CHADEMA. Waliojiunga na chama hicho ni wale waliokatwa kwenye kura za maoni kutokana na kushindwa kutimiza matarajio ya wananchi kwenye majimbo yao.

Kwa upande wa wanachama wa kawaida, hapa ndipo hofu ya Lowasa ilipo. Mpaka sasa hakuna lile wimbi la wanachama wa CCM kwenda CHADEMA, baadhi waliokuwa na hasira kutokana na watu wao kukatwa hali imetulia baada ya kuujua ukweli.

Swali la kujiuliza, je Lowasa ameshindwa kufikia dau la kuweza kuwanunua wana CCM zaidi au ameuziwa mbuzi kwenye gunia?

BAADA YA HISABATI HIZI; WAKAONA HANA CHAKE KWA WASOMI.

WAMEGHAIRI WENGI TU BAADA YA CHAPISHO ILI

DSC01009.jpg
 
mpaka kufikia Oktoba yote hayo yatakua historia, na watatamani kurudi ingawa watakua wamechelewa, safari ya Uhakika na Magufuli itakua imeshaanza na watakua wameachwa bandari ya mfadhaiko,
 
Duh! Kaka, yaani unabishia hata hili?
Acha abishe. kuna thread ya 2011 kuhusu Mbowe kumuuzia Lowasa Chadema naomba Nickname uiunganishe hapa ili tuone wajinga walivyoliwa na Mbowe. Wakati ule hata mimi sikuiamini ila yametimia. Dr. Slaa kuwaachia li ukawa lenu siyo mwehu. Anaelewa kila kitu na hakuwa tayari kuuzwa. Acha waliouzwa na Mbowe waendelee kumchekea mr. White hair. VIVA DR. SLAA VIVA PROF LIPUMBA.
 
Wale wanachama zaidi ya 600 Tanga waliochoma kadi za CCM na kujiunga na CHADEMA kwa mtazamo wako ni wengi au wachache?

Kuna vitu vingine ni vya kufikiria mara mbili, nani aliwahesabu mpaka kuja na hiyo idadi ya 600?
 
Back
Top Bottom