:target:hivi sifa za kuwa kamanda wa umoja wa vijana wa CCM ni zipi? mbona huwa makamanda wanakuwa wengi sana uchaguzi ukikaribia? kwa nini makamanda wote ni watu wenye uwezo wa kifedha? au ndio kutafuta tiket ya ubunge?
CCM ina mambo.lol
Ni uamuzi tu mkubwa nahisi pesa si kigezo cha kuwa kamanda ingawa INAWEZEKANA wanatumia pesa kupata nafasi hizo. Na wengine hawataki kugombea kwa kuhisi kuwa HAWANA pesa. Ni mtazamo tu!
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Aggrey Marealle akihutubia wanafunzi ambao ni wanachama wa CCM wakati wa hafla ya kukabidhi kadi za uanachama wa CCM kwa wanafunzi 201 wa tawi la CCM la Chuo Kikuu Kishiriki Cha Tiba cha KCMC.Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo Jumatatu. Picha na mpiga picha wetu.
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Aggrey Marealle akihutubia wanafunzi ambao ni wanachama wa CCM wakati wa hafla ya kukabidhi kadi za uanachama wa CCM kwa wanafunzi 201 wa tawi la CCM la Chuo Kikuu Kishiriki Cha Tiba cha KCMC.Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo Jumatatu. Kushoto ni mwenyekiti wa CCM tawi la KCMC, Bw. Mugisha Nkoronko na Katibu wa CCM Wilaya ya Moshi Mjini Yusufu Kombo. Picha na mpiga picha wetu.