Kuna rafiki yangu mmoja mlokole Sana, anaishi Temeke, nyumba anayoishi Ina wapangaji wengiiiiii, basi siku moja akaingia bafuni, kulikuwa na chupi ya kike imeanikwa inachuruzika Maji, sijui ikawaje, akaidondosha.... mke wake akaona mume kakaa muda mrefu bafuni akamfuata, akamkuta anafua chupi ya kike, UKAWA ugomvi mzito.