Livanga
JF-Expert Member
- Apr 15, 2010
- 469
- 148
Imeniwia vigumu kuelewa Nimesimamishwa na traffic wanakuja watu wengine wanasema wanatokea interpol wanaomba kukagua gari na hawatoi maelezo mengine mpaka niulize kwa ajili ya nini, wanajibu wanatafuta magari yaliyoibiwa. This doesnt make sense kwanza hawana vitambulisho pili upewi utambulisho wowote wa kuonyesha kuwa umeshakaguliwa ili kurpusha kusimamidhwa na wengine else where. Naona hapa kuna kasoro.*Sujui nyinyi wana JF mnalionaje hili