Jamani naomba kuuliza hivi serikali za mitaa zinatufikiriaje kweli mratibu elimu kata mwenye level ya cheti au form four wanapata wapi ujasiri wakuwakagua diploma na degree.
Namimi naomba kukuuliza kabla sijakujibu kwani wenye diploma na degree wanautoa wapi unyonge wa kukaguliwa na mratibu mwenye level ya cheti..??hukohuko wanapoutoa unyonge ndo wale wanapoutoa huo ujasiri
Namimi naomba kukuuliza kabla sijakujibu kwani wenye diploma na degree wanautoa wapi unyonge wa kukaguliwa na mratibu mwenye level ya cheti..??hukohuko wanapoutoa unyonge ndo wale wanapoutoa huo ujasiri