Ukaccm vs ukawa

Na kwenye mfumo wa demokrasia ukishindwa kubali matokeo hapa ccm mnapoteza tu muda kura ya wananchi itawaumbua kwa kuwa kiburi chenu ni wingi wa kuchaguana kwenye bunge la katiba na kuogopa watu wenu wenye nia njema na nchi hii kama warioba na tume yake kutopigia kura matakwa mabarakuli wenu mnang'ang'ania kura ya wazi ili muwatishe lakini jahazi lishaenda mrama tanganyika haiepukiki.:A S thumbs_down: ccm down!
 
UKAWA wanafikiri Katiba mpya ndio tiketi ya kwenda Ikulu!

katiba mpya ni ya wananchi na itaondoa ukiritimba wenu wa miaka 50 kumbukeni mpanda ngazi hushuka bora ccm ishuke yenyewe kuliko ingojee ngazi iondolewe itaanguka kwa aibu:confused2:
 

Hivyo ndivyo wananchi wanavyotaka waongozwe sasa wakiikataa rasimu hawana wa kuwaongoza waondoke:wave:
 
Halafu mtu aliyehalalisha katiba JMT kuvunjwa anasimama anasema msifuate maoni ya wananchi fuateni msimamo wa chama changu vinginevyo msubiri nikiondoka mwambieni aondoke hata kesho wananchi wanayo haki ya kufanya maamuzi juu mstakabali wa nchi yao sio kuburuzwa na mtu aliyevunja dhamana kuu waliyomkabidhi ya kuilinda na kuitetea katiba ya JMT
 
mashirikaka gani unayoongelea ndugu yangu? na yamekuwaje na mustakabali wa nchi? nahishi elimu ya shule za kata itakuwa imekuathiri ubongo wako, sio bure!

Hakika mkuu huyo ana elimu bora ya ccm division 5 usije shangaa ukimuuliza taifa lipi akakujibu Zimbabwe, ndo maana anashindwa kutofautisha maoni ya wananchi na mashirika ya kimataifa hao ndio wanajazwa ngonjera kuwa mashirika ya kimataifa yanawasaidia wapinzani nao bila kuchuja hoja wanaimba ngonjera za unga wa ndere wakiifurahia pepo ya mabwege:nod:
 

Nilikuwa bado sijampata vizuri...kumbe alikuwa na pointi isipokuwa alikuwa hajaiweka vizuri. Ni kweli kuna mashirika ya kijamii yamewekwa humo kwenye BMK kwa lengo la kutetea masalahi yao binafsi na sio maslahi ya wananchi. Ila elewa kwamba maCCM hayana nia njema ya kutunga katiba ya wananchi--yanataka kutumia umbumbumbu wa wananchi kuchomekea mambo ya chama kwenye katiba mpya. Magamba ni wapuuzi kuliko unavyoweza kudhani.
 
Ukawa=vichwa makini

Ukaccm=ubongo wa kamasi
 
unasemaje? hebu rudia tena...sijakuelewa bado.
Nasemaaaaaa...JK alijidhalilisha...sana..kwani kaanza lazimisha hisia zake..na CCM wengine wanafanya hayo hayo..huku watu w akimataifa wakifuatilia hii mambo..inayokwenda turn very ugly..na matukio yatakayofuatia yatakayovunja haki za binadamu yatawasogeza CCM wengi akiwepo yeye mwenyewe ICC.Wazungu wanakimbizana kumaliza dili haraka na JK halafu waanze to amatamko mdogomadogo ya kutaka haki za raia ziheshimike....then haraka sana wakishajikakikishia mbadalwa JK anajikuta yupo ktk hatia.
 
Thanks again








z Kondo, mazegele, makamba, matembe, victor, mvambo nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…