Ujuzi katika maswala ya umeme

Ujuzi katika maswala ya umeme

plas haule

New Member
Joined
Jan 20, 2016
Posts
4
Reaction score
0
Naombeni kujua swala moja kuhusu matumizi ya umeme .

Je nikiunganishiwa umeme na TANESCO na nikaamua kutengenezea neutral nyingine nyumbani kwangu na kutumia live ya TANESCO.

Je luku yao itasoma garama ileile ya mwanzo au itapumgua.
 
Naombeni kujua swala moja kuhusu matumizi ya umeme je nikiunganishiwa umeme na tanesco na nikaamua kutengenezea neutral nyingine nyumbani kwangu na kutumia live ya tanesco je luku yao itasoma garama ileile ya mwanzo au itapumgua.
Kitu kama icho hakiwezekani
 
Back
Top Bottom