Ujuzi juu ya kukwepa deni instagram sponsored AD

Ujuzi juu ya kukwepa deni instagram sponsored AD

Joined
Jul 31, 2022
Posts
21
Reaction score
21
Habari Wakuu

Aisee Mimi nimekuwa nikifanya biashara Instagram kwa kutumia hizi Instagram sponsored ad na kuzifanyia malipo lkn kutokana na changamoto za maisha nmeyumba nakuja kucheki nina deni kama la 300 dollar na mfukoni sina kitu

Hivyo nimeona huko Instagram watu wanasema uwalipe laki 2 au elfu 50 ili wanisaidie kutatua changamoto na mimi hela sina saivi hvyo nashidwa hata msimbazi sina

Naomba sana yoyote mwenye ujuzi anisaidie ili niweze kukwepa deni baadae nitalilipa japo nipige hata sponsor ad ya dollar 30 nijisogeze hali ni mbaya.

Natanguliza shukrani zangu kwenu wakuu
 
Cheza na youtube.. utapata mafunzo jinsi gani ya kukwepa hilo.

Youtube ni chuo kikuu
 
Tukufundishe uhalifu siyo?

Mzee jikague akili kwanza🤣🤣
 
Habari Wakuu

Aisee Mimi nimekuwa nikifanya biashara Instagram kwa kutumia hizi Instagram sponsored ad na kuzifanyia malipo lkn kutokana na changamoto za maisha nmeyumba nakuja kucheki nina deni kama la 300 dollar na mfukoni sina kitu

Hivyo nimeona huko Instagram watu wanasema uwalipe laki 2 au elfu 50 ili wanisaidie kutatua changamoto na mimi hela sina saivi hvyo nashidwa hata msimbazi sina

Naomba sana yoyote mwenye ujuzi anisaidie ili niweze kukwepa deni baadae nitalilipa japo nipige hata sponsor ad ya dollar 30 nijisogeze hali ni mbaya.

Natanguliza shukrani zangu kwenu wakuu
Hio pesa nying wamekutoza Kwa pesa io ungetozwa hata elfu sabini

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Nenda facebook fungua ads account nyingine ilink na insta yako then tumia hio kufanya promotion io ya zaman iweke second option simple sana mzee
Nilifanya hivo ila ile acc ya zamani nataka kuirudia ili niwalipe option siioni tena na , nime unlink na fb ili irudi yazamani ila haitokei
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom