The Boldly
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,377
- 5,150
*UJUMBE WA MAMA KWA MWANAE KIPENZI*
🤔🤔🤔
*"Mwanangu sikwambii uache kusoma au uache kazi lakini ukikutana na Fursa nzuri usiiache kamwe."*
*"Mwanangu utamaliza Chuo baada ya Miaka 25..."*
Jumla ya ada yako tangu unaanza shule mpaka unamaliza ni *Milion 16,800,000/= Tshs*.
Tanzania itakupa Mshahara wa *Laki 7 (Tshs 700,000/=)* kila mwezi kwa degree yako TU.
Ila.,
Toa asilimia *10% NSSF* (70,000/=)
Toa *Kodi asilimia 9%* (63,000/=)
Toa *Helsb asilimia 15%* (105,000/=)
Toa *NHIF asilimia 3%* (21,000/=)
Utabakiwa na *Tshs. 441,000/=*
Toa *Nauli kwa mwezi* Tsh 90,000/=
Toa *Chakula cha Mchana* Tsh.90,000/=
Toa *Pango* Tsh.100,000/=
Toa *Chakula cha nyumbani* Tsh.90,000/=
Toa *Gharama za kiwi na doby + nguo za ofisi* Tshs. 30,000/=
Utabakiwa na *Tshs 41,000/=*
Toa *bill ya Maji* 10,000/= na *Bill ya umeme* 20,000
Utabaki na *Tshs 11,000/=*
Weka na *Chupa ya Maji ya kunywa* ya 600/= ya bakheresa.
Hapo naona mwanangu kama utakuwa unadaiwa kila mwezi.
Basi komaa tu hivyo hivyo siku ziende.
Ukitaka kupiga simu tuma *Tafadhali Nipigie* maana huna budget ya vocha na pesa imekwisha.
Lakini pia usisahau *kutoa zaka na sadaka*.
Na pia *usiruhusu wageni kuja kukutembelea nyumbani kwako*, maana hutokuwa na pesa ya kuwanunulia hata soda.
Haya jitahidi Mwanangu shule njema angalia usigongwe na Bodaboda kwa mawazo ya maisha.
🤔🤔🤔
*"Mwanangu sikwambii uache kusoma au uache kazi lakini ukikutana na Fursa nzuri usiiache kamwe."*
*"Mwanangu utamaliza Chuo baada ya Miaka 25..."*
Jumla ya ada yako tangu unaanza shule mpaka unamaliza ni *Milion 16,800,000/= Tshs*.
Tanzania itakupa Mshahara wa *Laki 7 (Tshs 700,000/=)* kila mwezi kwa degree yako TU.
Ila.,
Toa asilimia *10% NSSF* (70,000/=)
Toa *Kodi asilimia 9%* (63,000/=)
Toa *Helsb asilimia 15%* (105,000/=)
Toa *NHIF asilimia 3%* (21,000/=)
Utabakiwa na *Tshs. 441,000/=*
Toa *Nauli kwa mwezi* Tsh 90,000/=
Toa *Chakula cha Mchana* Tsh.90,000/=
Toa *Pango* Tsh.100,000/=
Toa *Chakula cha nyumbani* Tsh.90,000/=
Toa *Gharama za kiwi na doby + nguo za ofisi* Tshs. 30,000/=
Utabakiwa na *Tshs 41,000/=*
Toa *bill ya Maji* 10,000/= na *Bill ya umeme* 20,000
Utabaki na *Tshs 11,000/=*
Weka na *Chupa ya Maji ya kunywa* ya 600/= ya bakheresa.
Hapo naona mwanangu kama utakuwa unadaiwa kila mwezi.
Basi komaa tu hivyo hivyo siku ziende.
Ukitaka kupiga simu tuma *Tafadhali Nipigie* maana huna budget ya vocha na pesa imekwisha.
Lakini pia usisahau *kutoa zaka na sadaka*.
Na pia *usiruhusu wageni kuja kukutembelea nyumbani kwako*, maana hutokuwa na pesa ya kuwanunulia hata soda.
Haya jitahidi Mwanangu shule njema angalia usigongwe na Bodaboda kwa mawazo ya maisha.

