Ujumbe wa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa Dr.Vincent Mashinji kwa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya

Katibu wangu mashinji, hili unalo sifia kwamba ni demokrasia champion ni raila odinga.
Odinga kapigania mabadiliko mengi ya katiba kenya, kama unakumbuka enzi za chungwa na ndizi.
Bila odinga hizi sifa unazompa uhuru leo hazingekuepo,kwa Wale wanao fuatilia siasa za kenya mtakubaliana nami.
Leo kisa odinga ni rafiki wa odinga chadema tunamuunga mkono uhuru, nani asiyejua urafiki kati ya chadema na chama cha Odm, ni urafiki wa muda mrefu leo tunawakana na kuwasaport jubilee kisa urafiki wa odinga na magufuli tena urafiki wa muda mrefu.
Nakubaliana na msemo usemao there is no permanent friend or enemy in politics lakini kwa hili chadema mmeniangusha.
Miaka mitano ya jubilee was a hell to Kenyans ufisadi mauaji na thulma nyingi za kisiasa tumeshuhudia,leo chadema chama changu mnamuunga mkono Kenyatta kisa urafiki wa magufuli na odinga! So pathetic.
Naamini hizi siasa za ajabu kazileta chadema lowasa, yes naaamini hivyo kwa sababu chadema hatukuwa na hizi siasa za ajabu mwanzoni kabla ya Lowasa .
Kwa kweli imeniuma sana kuona chama changu ambacho nimekipigia kura miaka kumi na tano mfululizo tumeanza kuiga siasa za ajabu ajabu, to be honest kwa hili sinto wasamee walio fanya maamuzi haya.
Mwisho kabisa naomba nimkumbushe katibu mkuu na mwenyekiti wangu mh mbowe, rudini kwenye vitabu au mjikumbushe mchango wa odinga kuhusu demokrasia ya kenya, the guy did much that's why leo mnamsifia Kenyatta, Kenyatta hastaili hata chembe ya sifa.
wakenya sio Kama sisi watanzania ambao ndio Kwanzaa tunaamka kwenye kudai haki zetu za kidemocrasia, ingekuwa ni Kenya kauli y'all magufuli kupiga marufuku mikutano ya kisiasa isengefua dafu. Angepingwa kona zote kuanzia civil societies,vyama vya siasa hadi mahakamani.
Crucial man
Mwana chadema
Kitendo cha Raila kuwa rafiki wa bwana yule kimemtoa kwenye kundi la marafiki zetu.Na inawezekana kimewatisha hata wapiga kura.Hata hivyo Raila ni kinyonga wa kisiasa kama alivyo John McCain.1982 mpango wa mapinduzi,baadaye akajiunga na Moi akawa katibu mkuu wa KANU,baadaye akajitoa kanu akajiunga na Kibaki baadaye akajiunga na akina Mudavadi,,,,baadaye na Kalonzo yaan jamaa hatabiriki.Leo ni rafiki wa UCHWRA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuru for president anafaa ana mawazo ya kisasa, yupo update anaijua dunia, hana mawazo ya kizamani ya kurudisha watu nyuma, anaruhusu demokrasia sababu si dikteta ni mtumishi wa wengi, hongera mmechagua vyema. Uhuru ana changamana kimataifa km alivokuwa Kikwete anapata mawazo mapya si km fikra mgando,ameonyesha mfano wa kweli wa democrasia. Hongera uhuru.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MAHAKAMA KUU YA KENYA IMETOA HUKUMU WITHOUT FEAR OR FAVOR. Hi i ndiyo mahakama huru pekee katika ukanda huu.
 
Kenyata alikuwa anahudhuria mpaka Mahakama ya THE HAGUE kama Mtuhumiwa yoyote na hatimae akashinda.
Namwombea kwa Mungu ashinde maana huyu ni mfano bora kabisa katika ukanda huu.
Mpaka kule bondeni huyu anafaa sana kusimamia democracy. At least kajitahidi sana.
 
Sizonje ana wivu

Sent using Jamii Forums mobile app
Munapoongea muwe mnaweka akiba ya maneno ili mpate kujitetea baadae mambo yanapokuwa kinyume
Sizonje angetoa uhuru Tz mambo mengi yangeibuka na kauli Kama mwafwaaa asingetoa.

Ila kwa kweli Demokrasia ya Kenya imetukuka.Wana kila sababu ya kuwafundisha wenzao wa Afrika Mashariki.

Kenyata alikuwa anahudhuria mpaka Mahakama ya THE HAGUE kama Mtuhumiwa yoyote na hatimae akashinda.
Namwombea kwa Mungu ashinde maana huyu ni mfano bora kabisa katika ukanda huu.

Kenyata ni mfano wa kuigwa

Ova

Bila shaka Kenyata amekuwa hivyo kutokana na kukulia katika mazingira bora na yenye nidhamu ya kiuongozi na Kimaadili.
Mwenyezi Mungu atamlipa kwa mema yake anayowatendea watu wake.Walau namwombea ashinde ili awe alama ya uongozi uliotukuka katika ukanda huu.

Kwakweli hata ukiangalia vyombo vya habari vinavyorusha matangazo ya uchaguzi unaoendelea kwa uhuru kila mtu anakubali kenya demokrasia imepiga hatua,,hata watu wanatoa maoni kwa uhuru wa hali ya juu

Uhuru Kenyata huwezi mfananisha na raisi yoyote kwa afrika mashariki..wengine wanashindana na uongozi na kuongoza wananchi ila hawana sifa za uongozi. Toka lini bulldozer likawa na sifa ya kuongoza wananchi

Ushindi katika uwanja huru unakuwa na Raha sana.Nina imani Uhuru Kenyata atajisikia fahari kuongoza wakenya waliomchagua bila figisu.Hii itawaletea Kenya heshima sana Kitaifa na Kimataifa.Kila Taifa litamheshimu sana kwa kumuona ndie hasa anayewakilisha matakwa ya wanaKenya.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenyata alikuwa anahudhuria mpaka Mahakama ya THE HAGUE kama Mtuhumiwa yoyote na hatimae akashinda.
Namwombea kwa Mungu ashinde maana huyu ni mfano bora kabisa katika ukanda huu.

Kumbe mnajua alitotoleshwa na kompyuta sio! Damu ya Chris Musando itawalilia daima! Watubu kwanza!!!!
 
Munapoongea muwe mnaweka akiba ya maneno ili mpate kujitetea baadae mambo yanapokuwa kinyume

















Sent using Jamii Forums mobile app
Even the UNITED STATES need to learn from mr uhuru kwa kweli kenya gas set the goals to far sioni africa wakuwagusa kwa democracy na transparency........magufuli jifunze kuna maisha baada ya uraisi plz
 
Leo hii eti watu fulani wanasifia mahakama kuwa huru lakini haohao mwanzo ndio walikua wanaisifia tume kuwa ni huru na haki na hata wakathubutu watanzania tuwaige sasa tuwaulize tuendelee kuiiga tume huru mliyokua mnaipigia debe ??
 
Kenyatta hajawahi kupigania demokrasia ya aina yoyote ile kenya,Odinga ndio mpiganaji leo tunazungumzia katiba ya kenya ni Odinga mmojawapo ndiye aliyepigania,kenyatta ni just follower tuu wa mwamvulii
 
Kwa kauli hizi za chadema, ukiitwa chadema gombana aisee. Bora ubaki huna chama maana hawa jamaa ni wa ajabu kwelikweli
 
Back
Top Bottom