T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,931
- 987
Sasa mtu kama hajasoma elimu dunia utamuelemishaje wakati anaambiwa anapata thawabu kwa kuchoma makanisa ama kuua makafiri?
we ulivoishia form four ukapata four ya 28 ukaishia kupata course ya computer ukajua kufungua JF ndio unajiona umesoma??? wasomi hawajisemi,matendo yao yanawasemea