Ujumbe muhimu kwa akina dada

Ujumbe muhimu kwa akina dada

Marconho

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2015
Posts
287
Reaction score
445
Umepata Bwana, umempenda kweli kweli, umemlalamikia sana eti kwanini hakupeleki kwa wazazi wake kukutambulisha, jamaa akagoma sana mwishowe akaona isiwe kesi, akakupeleka.

Wewe badala hata utake hiyo advantage umefika tu Siku ya kwanza umeshinda Unachati, siku ya pili umeshinda unachati tena ndio unajisifia kwenye groups upo ukweni kumbe wao wanakutazama tu na kukupimia wala hawakwambii kitu.

Siku ya tatu wanakwambia leo ni zamu yako kupika, unaingia jikoni unaona kila kitu kigeni, vya huku unaweka kule, vya kule unaweka huku (Yaani hujui kupika chochote).

Sufuria unashika kama umeshika Power Bank, unapika na lipstick, mdomo mwekunduuu utafikiri mtoto wa jini katoka kufundishwa kunyonya damu tena huku umevaa saa, umevaa Culture zimejaa nusu ya mkono, umevaa miniskirt kama wafanyakazi wa Emirates.

Msosi wa wakwe huwezi kupika, ukiambiwa hufai kuolewa unavuta midomo utafikiri umenyimwa USB cable ubust smartphone yako, unaanza kulalamika wakwe hawakupendi, unalalamika wee, unashindwa kuelewa kuwa wewe ndio tatizo.

usitake kuolewa ukidhani mumeo atakula chips na wewe utakuwa unakula pizza kila siku, jifunze hata kuchemsha chai basi au unadhani Google Wataleta Apps ambazo unaweka USB kwenye simu yako halafu Unaielekezea kwenye sahani inaproduce msosi.

#JIPANGE DADA usidhani Ndoa Ni Kama Kupiga Selfie
 
Wanasema ndoa si kitu muhimu sana kama tunavyoichukulia.
Ana kazi, analipwa mshahara, ana kila kitu bila hata mume akitaka mtoto anaweza mpata. Kwa kifupi maisha yake yanaweza kwenda bila ndoa eti tuache kuteseka hayatuhusu.
 
Ugonvi na mafiwi uko pale pale, yangu macho.

Yan mdongo wangu wa kike nikisikia anachongoa kwa demu wangu ni makofi tu. Mke mafunzo yangu yatamtosha.
 
Wapo watawaoa ni swala la muda tu ambao tuko committed na pombe tupo wachache na tulioamua kuwa na permanent relationship na pombe nadhan ntakuwa peke angu
Hahaaa, we acha tu waoaji wenyewe ndyo nyie maopenda pombe zaidi kuliko hata mke, je kuna kuolewa kweli hapo
 
Umepata Bwana, umempenda kweli kweli, umemlalamikia sana eti kwanini hakupeleki kwa wazazi wake kukutambulisha, jamaa akagoma sana mwishowe akaona isiwe kesi, akakupeleka.

Wewe badala hata utake hiyo advantage umefika tu Siku ya kwanza umeshinda Unachati, siku ya pili umeshinda unachati tena ndio unajisifia kwenye groups upo ukweni kumbe wao wanakutazama tu na kukupimia wala hawakwambii kitu.

Siku ya tatu wanakwambia leo ni zamu yako kupika, unaingia jikoni unaona kila kitu kigeni, vya huku unaweka kule, vya kule unaweka huku (Yaani hujui kupika chochote).

Sufuria unashika kama umeshika Power Bank, unapika na lipstick, mdomo mwekunduuu utafikiri mtoto wa jini katoka kufundishwa kunyonya damu tena huku umevaa saa, umevaa Culture zimejaa nusu ya mkono, umevaa miniskirt kama wafanyakazi wa Emirates.

Msosi wa wakwe huwezi kupika, ukiambiwa hufai kuolewa unavuta midomo utafikiri umenyimwa USB cable ubust smartphone yako, unaanza kulalamika wakwe hawakupendi, unalalamika wee, unashindwa kuelewa kuwa wewe ndio tatizo.

usitake kuolewa ukidhani mumeo atakula chips na wewe utakuwa unakula pizza kila siku, jifunze hata kuchemsha chai basi au unadhani Google Wataleta Apps ambazo unaweka USB kwenye simu yako halafu Unaielekezea kwenye sahani inaproduce msosi.

#JIPANGE DADA usidhani Ndoa Ni Kama Kupiga Selfie
Message ya ukweli kabisa aisee
 
Babe, wa hivyo hajapata wa kumuoa yaani hayo ni maneno ya mkosaji, hakuna mwanamke hapendi ndoa,
Wanasema ndoa si kitu muhimu sana kama tunavyoichukulia.
Ana kazi, analipwa mshahara, ana kila kitu bila hata mume akitaka mtoto anaweza mpata. Kwa kifupi maisha yake yanaweza kwenda bila ndoa eti tuache kuteseka hayatuhusu.
 
Babe, wa hivyo hajapata wa kumuoa yaani hayo ni maneno ya mkosaji, hakuna mwanamke hapendi ndoa,
Wanatambua hilo wakikalibia kuzeeka, hakuna cha kuziba nafasi ya Mume au Mke katika maisha ya mwanadamu
 
Huo naskia ktk vitu muhimu ambavyo huwa mnaviwaza sana na mnapenda sana ni ndoa kuna ka ukweli hapa ?
Babe, wa hivyo hajapata wa kumuoa yaani hayo ni maneno ya mkosaji, hakuna mwanamke hapendi ndoa,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom