Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,305
- 12,969
Hata mwaka hajamaliza katika uchifu wa kurithi lakini keshatangaza kuutaka uchifu 2025 wanaukoo tutakapo kaa kumchagua chifu kama taratibu za ukoo zinavyo taka. Sasa hapa uchumi utajengwa saa ngapi kama sio kutumia muda mwingi kupambana na wanaopinga ndani ya ukoo na nje ya ukoo?