Ujumbe kwa wanawake wote

Ujumbe kwa wanawake wote

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,014
Reaction score
6,832
1602649297686.png
 
Unazungzia ..mwanamke kwa ajili ya mwanaume yoyote? Au mwanamke yoyote kwa ajili ya mwanaume?


Vipi kuhusu Wanawake wale ambao kiuchumi wako vzuriiii sana????.
Niliwahi kusikia mahali kama mke analipwa 200,000/= na mume analipwa 50,000/= ukijumlisha hayo mapato bado utapata 50,000/=

Wataalamu wa hesabu watusaidie hii inawezekanaje
 
Na Mimi ujumbe wangu


NAWEPENDA SANA WOTE ILA HASA NYIE WENYE WOWOO
 
Na Mimi ujumbe wangu


NAWEPENDA SANA WOTE ILA HASA NYIE WENYE WOWOO
sasa wewe kuwa kma msomi basi hii post yako inasoma na njinsia zote yani mume na mkee sasa wewe unavyosema *nyie wenye wowo* ina maana gani mkuu si dharau hizo boss
 
sasa wewe kuwa kma msomi basi hii post yako inasoma na njinsia zote yani mume na mkee sasa wewe unavyosema *nyie wenye wowo* ina maana gani mkuu si dharau hizo boss
Acha kuwa kama mnyasa INA maana hujui maana ya wowo na ufahari wake akiwa nayo female humanoid ?
 
Nyie rukeni rukeni lkn sote tunahitajiana sema wanawake wengine huenda mbali zaidi na kutumia malimbwata! Hiyo ndo inakuwaga chizi karogwa Tena..😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom