Hii ndiyo shida ya kuvaa nguo zenye maandishi ambayo mtu hayaelewi. Sasa ulipompiga picha kwa nini hukumuelewesha maana ya maaandishi kweye hiyo t shirt?Ujumbe muruwa kwa wakina dada, ila kaivaa m-baba hapa kwetu Rombo
Hii ndiyo shida ya kuvaa nguo zenye maandishi ambayo mtu hayaelewi. Sasa ulipompiga picha kwa nini hukumuelewesha maana ya maaandishi kweye hiyo t shirt?