Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,105
Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Geita , Mtukufu Mponjoli Mwabulambo amenukuliwa na gazeti la Nipashe " AKIONGEA KWA MAJIVUNO " kwamba Jeshi hilo halina taarifa za kutofikishwa mahakamani kwa viongozi 51 wa CHADEMA , Chato .
Ikiwa kama jeshi lake ndio limewakamata watu hawa inakuwaje hazijui taarifa zao ? Ikumbukwe kwamba viongozi hawa wa Chadema wamekwisha achiwa kwa dhamana na Mahakama , lakini kwa ubabe wa kishamba jeshi hilo limeendelea kuwashikilia kinyume kabisa na katiba ya nchi.
Natumia nafasi hii kumkumbusha ndugu yangu Mwabulambo kwamba Abdallah Zombe , aliyekuwa mkuu wa upelelezi wa kanda maalum ya DSM , Kabla ya mwisho wake mwema aliteuliwa kuwa RPC .
Cheo ni dhamana tu .
Ikiwa kama jeshi lake ndio limewakamata watu hawa inakuwaje hazijui taarifa zao ? Ikumbukwe kwamba viongozi hawa wa Chadema wamekwisha achiwa kwa dhamana na Mahakama , lakini kwa ubabe wa kishamba jeshi hilo limeendelea kuwashikilia kinyume kabisa na katiba ya nchi.
Natumia nafasi hii kumkumbusha ndugu yangu Mwabulambo kwamba Abdallah Zombe , aliyekuwa mkuu wa upelelezi wa kanda maalum ya DSM , Kabla ya mwisho wake mwema aliteuliwa kuwa RPC .
Cheo ni dhamana tu .