SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,895
Usihangaike kuandaa hotuba ndefu kujichosha wewe mwenyewe pamoja na watakaokusikiliza.
Wafanyakazi wanataka kusikia mambo manne tu:
1. Nyongeza ya mishahara yao ambayo ilisitishwa tangu 2015 pamoja na arrears zote kuanzia January 2016 hadi April 2021.
Increments zipo kisheria mishahara ipande kuanzia pale ilipoishia (Jan 2016) sio July 2021.
2. Hali ya kifedha ya mifuko ya NSSF na PSSSF baada ya fedha nyingi kama sio zote kuchotwa na serikali.
3. Upandaji wa vyeo na madaraja. Hali hii imesababisha watu kustaafu na vyeo na madaraja ya chini hivyo kupata pension pungufu. Mfano wengi waliostaafu 2016-2020 wamepunjwa mafao yao kwani mishahara hawakupandishiwa na madaraja hawakupandishwa.
4. Kuhusu uhamisho wa wafanyakazi. Weka sawa hili jambo. Utaratibu wa kuhama ukoje? Kwani kila mtu anafanya lake wakati serikali ni moja.
Wafanyakazi wanataka kusikia mambo manne tu:
1. Nyongeza ya mishahara yao ambayo ilisitishwa tangu 2015 pamoja na arrears zote kuanzia January 2016 hadi April 2021.
Increments zipo kisheria mishahara ipande kuanzia pale ilipoishia (Jan 2016) sio July 2021.
2. Hali ya kifedha ya mifuko ya NSSF na PSSSF baada ya fedha nyingi kama sio zote kuchotwa na serikali.
3. Upandaji wa vyeo na madaraja. Hali hii imesababisha watu kustaafu na vyeo na madaraja ya chini hivyo kupata pension pungufu. Mfano wengi waliostaafu 2016-2020 wamepunjwa mafao yao kwani mishahara hawakupandishiwa na madaraja hawakupandishwa.
4. Kuhusu uhamisho wa wafanyakazi. Weka sawa hili jambo. Utaratibu wa kuhama ukoje? Kwani kila mtu anafanya lake wakati serikali ni moja.