Ujumbe kutoka tanesco

Nadhani hawa hawafai kuwa viongozi. Vijijini kuna umeme pia. Hata kama hakuna umeme,kwani huo umeme hapo mjini uliwekwa ili ukatike kila mara? Nadhani aliyetoa kauli hiyo anapaswa kushulikiwa kisheria
 
Jamani yani tunadai haki yetu alafu kampuni inatutukana?

Ni nani anawapa kiburi hawa kenge?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…