Mwaka ule Pinda akiwa waziri Mkuu, Magufuli alikuwa waziri aliamuru makao makuu ya TANESCO yabomolewe. Waziri Mkuu akakataa. Sasa Magufuli ni Rais , Pinda ni mkulima, jengo linavunjwa Na Pinda atapongeza ubomozi huo
Mwaka ule Pinda akiwa waziri Mkuu, Magufuli alikuwa waziri aliamuru makao makuu ya TANESCO yabomolewe. Waziri Mkuu akakataa. Sasa Magufuli ni Rais , Pinda ni mkulima, jengo linavunjwa Na Pinda atapongeza ubomozi huo