Ujue umbali wa mikoa yote Tanzania

Ujue umbali wa mikoa yote Tanzania

Dar-karagwe ni parefu kupitia bk ongeza kilomita 100 kwenye dar-kagera means km 1533 mpk omurushaka, nakumbuka niliwahi kutokea murongo boda mpk dar aisee uchovu wake Ni adhabu
Ndio maana tumejenga viwanja vya ndege kwenye hiyo mikoa (Kigoma, Bukoba-Kagera na Mpanda-Katavi) maana tunataka muachane na mabasi mhamie kwenye usafiri wa anga. Na tukaenda mbali zaidi tukanunua na ndege zetu kwa cash ili kuwarahisishia usafiri. Hivyo ukiamua kupanda basi toka hiyo mikoa kuja dar labda uwe unapenda tu kufanya utalii wa ndani.
 
Kigoma ni kubwa zaidi ya Burundi, kama Burundi ni nchi vipi Kigoma isiwe nchi??, Kigoma ni kubwa kuliko Dar yenye watu 6.5million, vipi Kigoma ishindwe kuwa nchi autonomous !!?
Umbali toka Hawaii hadi Washington ni 2,733. Lakini bado hawajafikiria kujitoa kwenye USA. Umbali si tatizo. Ingekuwa hivyo, Urusi au Canada zingekuwa zimeshazaa mataifa mia na ushei. Think again mwanangu.
 
Umbali toka Hawaii hadi Washington ni 2,733. Lakini bado hawajafikiria kujitoa kwenye USA. Umbali si tatizo. Ingekuwa hivyo, Urusi au Canada zingekuwa zimeshazaa mataifa mia na ushei. Think again mwanangu.


Kigoma inaweza kuwa zaidi ya Rwanda kwa maendeleo kama ikijitenga na Tanganyika, you have to ponder in that line.
 
Can you please substantiate if you can or may?


Katika Lake Tanganyika upande wa kigoma kuna mafuta, ardhi ya kigoma inafaa kwa kilimo cha vyakula vya aina mbakimbali kama Mahindi, mpunga, korosho, Buni, Michikichi, Kigoma inaweza kuzalisha mafuta ya kula (refined palm oil) yanaweza kulisha east africa yote kinachohitajika ni mipango imara ya kuendeleza kilimo cha michikichi kama wanavyofanya huko malyasia ambao walichukua/waliiba mbegu za michikichi kutoka kigoma, Kigoma inaweza kulisha vyakula kama dagaa na migebuka na mahindi nk, katika mashariki ya Congo na Tanganyika, Babdari ya kigoma inaweza kuwa ni chanzo kikubwa cha mapato ya nchi ya kigoma kutokana na huduma ya bidhaa kwa Kongo na Burundi, sekta ya utalii wa Sokwe huko Gombe na Mount Mahale ni kivutio kikubwa cha watalii hapo tutapata pesa za watalii, Ziwa Tanganyika lina Beaches nzuri sana kwa ajili ya utalii, kuna utalii wa kihistoria katika mji wa ujiji, kuna Madini kama shaba nk, ambayo bado hayaja kuwa explored, Ardhi ya Kigoma ni miongoni mwa ardhi ambazo bado ni Virgin, kuna sehemu Kigoma watu bado hawajakanyaga toka kuumbwa kwa hii dunia, kuna mambo mengi sana ya kuelezea kuhusu kigoma.

Mungu yupo, wamwisho ipo siku atakuwa wa Kwanza, Mark my words.
 
Dar-karagwe ni parefu kupitia bk ongeza kilomita 100 kwenye dar-kagera means km 1533 mpk omurushaka, nakumbuka niliwahi kutokea murongo boda mpk dar aisee uchovu wake Ni adhabu
Nashukuru sana.
 
Kama DAR - ARUSHA ni KM 646
na DAR - MOSHI ni KM 530; kwa hiyo
ARUSHA - MOSHI ni KM 116?
Google search inaonesha kuwa, umbali wa kutoka ARUSHA kwenda MOSHI ni KM 72.
Na hata vibao vya kuonesha umbali kati ya ARUSHA na MOSHI vilivyoko kwenye hiyo miji, vinaonesha kuwa umbali kati ya hii miji miwili ni KM 72 - KM 75 (kulingana na kibao kipo eneo gani la mji).
Tofauti ya umbali kati ya mleta mada na kinachosomeka kwenye milage stones kati ya MOSHI na ARUSHA ni kubwa mno!!
Kwa mujibu wa mleta mada, umbali kati ya hii miji ni KM 116, wakati vibao vya barabarani vinasoma KM 75; tofauti ya KM 41; kwa nini?
 
Ndio maana tumejenga viwanja vya ndege kwenye hiyo mikoa (Kigoma, Bukoba-Kagera na Mpanda-Katavi) maana tunataka muachane na mabasi mhamie kwenye usafiri wa anga. Na tukaenda mbali zaidi tukanunua na ndege zetu kwa cash ili kuwarahisishia usafiri. Hivyo ukiamua kupanda basi toka hiyo mikoa kuja dar labda uwe unapenda tu kufanya utalii wa ndani.
Sifagilii sifa za kijinga mkuu, si kwamba tunafanya utalii la hasha ni uwezo wa kulipia ndege hakuna
 
Back
Top Bottom