Ujue ukweli wa Lowassa kukimbia midahalo

Ujue ukweli wa Lowassa kukimbia midahalo

Lowassa hawezi kuongoza mabadiliko because he is part of the problem not the solution
Pili, kwa hali aliyofikia na Parkinson yake hata akili yake sasa si nzima. So poleni sana!

Kijana acha kutumia m.k.undu kufikiri! Umeambiwa hakuna mabadiliko ndani ya ccm yapo nje ya ccm. Miaka 54 ya uwepo wao ingetosha kuleta mabadiliko hawakuleta, sasa miaka 5 watawezaje?! Unanichosha kijana! Kichwa kigumu!
 
Endelea kuwa wakala wa shetani! Utakuwa na mwisho mbaya!

Kuna watu watatoroka nchini kwenda kusikilizia majibu ya uchaguzi nje ya nchi na kunaambao watakufa kwa presha ya matumizi badala ya matumaini pamoja na mikopo na kesi zitakazo wakabili pia kuna watakao filisiwa! Infact hakuna asiyejua kinachofuata ni nini na ww sijui unaamini nn na upo wapi kama ww sio wakala wa mijiizi, wazinzi, magaidi na wahujumu uchumi!
 
Watanzania wengi tupo gizani umeme ni shida tutaangaliaje hizo tv kuona hiyo midahalo? Bora aelekeze nguvu zaidi kuonana na wananchi wake wengi kwa njia ya mikutano.
 
Masuala ya kuwa na debate hayapo kwenye ratiba za NEC so ushauri wangu ombeni next time NEC waweke suala la debate kuwa ni la lazima kufanyika hiyo 2020
 
Kuna watu watatoroka nchini kwenda kusikilizia majibu ya uchaguzi nje ya nchi na kunaambao watakufa kwa presha ya matumizi badala ya matumaini pamoja na mikopo na kesi zitakazo wakabili pia kuna watakao filisiwa! Infact hakuna asiyejua kinachofuata ni nini na ww sijui unaamini nn na upo wapi kama ww sio wakala wa mijiizi, wazinzi, magaidi na wahujumu uchumi!

Siasa sio uwekezaji bwa mdogo! ile ni cost sharing! ndo maana mtu anaweza kugombea hata mara 20 na hatetereki kiuchumi! Sijui mkiwa ccm huwa akili zenu mnaweka wapi, nashangaa jambo dogo kama hili wala hujui!
 
Watanzania wengi tupo gizani umeme ni shida tutaangaliaje hizo tv kuona hiyo midahalo? Bora aelekeze nguvu zaidi kuonana na wananchi wake wengi kwa njia ya mikutano.

Hii mimburula ya ccm haijui hili! wanashikia akili na akina prof maji marefu!
 
Naona magamba tumewashughulikia hadi mmekula kona kama kawaida yenu. Next time mje na topic zenye mashiko, sio unapiga miayo tu halafu unakimbilia ku post jf. Haya kafanyeni kazi sasa!
 
Naona magamba tumewashughulikia hadi mmekula kona kama kawaida yenu. Next time mje na topic zenye mashiko, sio unapiga miayo tu halafu unakimbilia ku post jf. Haya kafanyeni kazi sasa!

Mbona unaongea mwenyewe vitu visivyoeleweka! Topic mbona inachangiwa tu vizuri na we pia umechangia kama mara 5 hivi na kuiweka juu?
 
Siasa sio uwekezaji bwa mdogo! ile ni cost sharing! ndo maana mtu anaweza kugombea hata mara 20 na hatetereki kiuchumi! Sijui mkiwa ccm huwa akili zenu mnaweka wapi, nashangaa jambo dogo kama hili wala hujui!

Eti eh! Ndio ka share na rostam mgombea mwenza! Hawa jamaa wangebaki kucheza na michezo ya hisa ila sio mchezo huu wakutaka kugawana nchi! Katumia kiasi gani kuinunua chadema!? Kiingilio alichotoa unakijua!? Kama hukijui waulize ukawa na chadema wenzio ndio utajua ni jinsi gani huyo jamaa ana uchu na nn kitatokea endapo hata m1 kumfikiria atakuwa raisi!
Upuuzi wao upo wazi ni bora wangetafuta makampuni ya kununua hisa ila sio kugawana nchi
 
Hii ni ajabu sana...Ukawa kuogopa mdahalo
 
Eti eh! Ndio ka share na rostam mgombea mwenza! Hawa jamaa wangebaki kucheza na michezo ya hisa ila sio mchezo huu wakutaka kugawana nchi! Katumia kiasi gani kuinunua chadema!? Kiingilio alichotoa unakijua!? Kama hukijui waulize ukawa na chadema wenzio ndio utajua ni jinsi gani huyo jamaa ana uchu na nn kitatokea endapo hata m1 kumfikiria atakuwa raisi!
Upuuzi wao upo wazi ni bora wangetafuta makampuni ya kununua hisa ila sio kugawana nchi

Huyu mshabiki hataki kuelewa lakini moyoni kakuelewa vizuri tu. Mtu mwenye akili timamu huwezi kumpigia kura Lowassa
1. Ni agent ya mafisadi papa na Nyangumi wanaotaka kugawana nchi eg Rostam, Mengi, Manji
2. Ni mgonjwa sana na Parkinson's disease inayoaffect ubongo na mwili na yuko katika steji mbaya mpaka kaanza kupoteza fahamu
3. Hakuna miundombinu ya kitaasisi nyuma yake baada ya Chadema kusambaratika. Imebaki makusanyiko ya watu wenye interest zao binafsi.
Vitu hivi viko wazi!
 
Mi sishangai hyo cz mbona wana ccm mwka 2010 akiwemo kikwete walikimbia mdahalo na vyama pinzani so leo hii naona kawaida tu
 
sijaona ubaya wa kufanya midahalo ya chama kamwe. vilevile sijaona ubaya wa mdahalo wa wagombea kamwe. ni suala kukubaliana tu.
 
tarehe 25/10/2015 tutaheshimiana. mtaujua ukawa ni Mungu.
 
Watanzania dah mbona tunashindwa ku reason cc wenyewe lowassa ambae alikuwa serikalin kwa miaka 30 kama wazir alishindwa kleta ma badiliko leo hii ana2hadaa nawatu macho yanawatoka ety rais haaaa nan amchague huyo fisad

Ahaahhaha haha mkuu unaishi nchi jirani, au ndani ya Tanzania? Ever seen a silly question like this.
 
Atakayekataa Mdahalo ndo Rais,Remember Jk 2010

Haha mkuu ndivyo mlivyodanganywa?
JK alikuwa incumbent ndiyo maana alikuwa na luxury ya kukataa midahalo 2010. Lowassa siyo incumbent ni challenger. Sidhani unanielewa maana unataka kuingiza political strategy wakati huielewi!
Nafasi ya JK kama rais aliye madarakani 2010 na nafasi ya Lowassa kama mgombea wa nje yaani challenger 2015 ni tofauti kabisa. Kasome vizuri political strategy ndiyo uje na hoja zilizoshiba si hizi mlizokremishwa!
 
Kwani Kikwete ameshawahi kuhudhuria mdahalo wowote?
 
Naona magamba tumewashughulikia hadi mmekula kona kama kawaida yenu. Next time mje na topic zenye mashiko, sio unapiga miayo tu halafu unakimbilia ku post jf. Haya kafanyeni kazi sasa!

Ahaahhaha haha, tehehehe, sawa mkuu ila palipoliwa "kona" namshukuru Mungu mnatambua kinachoendelea. Hata kocha safari hii kasema hii game ni man to man, tehehehe hehe he, kamuulize alikua anamaanisha nini.
 
Back
Top Bottom